Mtume Dunstan Maboya,kwanini hapendi Promo za TV?

Mtume Dunstan Maboya,kwanini hapendi Promo za TV?

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Apostle Dunstan Maboya ni moja kati ya watumishi wa mungu wa miaka mingi sana na wenye Upako.
Nimeanza kumsikia Mtume Maboya toka mwaka 1989 na ameendelea kuitanua huduma yake kila pembe ya nchi hii na nje ya nchi.
Lakini nimekuwa nikijiuliza kwanini Mtume Maboya hajitangazi kwenye Tv kama mzee wa Upako na watumishi wengine? ambao siku hizi wame fanya ni fasheni kujipa promo kwenye Tv?
Je anapatikana wapi mtumishi huyu wa mungu kwa sasa?
 
Inategemea kwake yeye ni strategy ipi inamlipa zaidi au inasaidia huduma yake kukua. Si unaona hata Kakobe aliondoa matangazo yake Chanel Ten?
 
Hata mimi ananishangaza sana.

Na watu wengine wanaonishangaza ni "wanaharakati" wa JamiiForums, kwanini hawapendi promo za TV?
 
Inategemea kwake yeye ni strategy ipi inamlipa zaidi au inasaidia huduma yake kukua. Si unaona hata Kakobe aliondoa matangazo yake Chanel Ten?

Nilikuwa naona Ndodi kipindi kile alikuwa analalamika sana kuhusu gharama za kwenda hewani kwenye TV. Inawezekana ikawa ni moja ya sababu.
 
Inategemea kwake yeye ni strategy ipi inamlipa zaidi au inasaidia huduma yake kukua. Si unaona hata Kakobe aliondoa matangazo yake Chanel Ten?

Labda kakobe promo ilishakubali akaona keshajulikana akavuta breki
Maana hata coka wanajitangaza sana ila kuna wakati huamua kupiga kimya kiana
 
Nilikuwa naona Ndodi kipindi kile alikuwa analalamika sana kuhusu gharama za kwenda hewani kwenye TV. Inawezekana ikawa ni moja ya sababu.

Ni gharama kubwa sana. Nilisikia kuwa sio chini ya milioni tano. Kama ni kweli kwa one hour
 
Ni gharama kubwa sana. Nilisikia kuwa sio chini ya milioni tano. Kama ni kweli kwa one hour

Milion tano kwa lisaa lusekelo si angefilisika?
Maana kwa week yupo mara tatu na zaidi ya masaa 2 anakuwa hewani
 
Milion tano kwa lisaa lusekelo si angefilisika?
Maana kwa week yupo mara tatu na zaidi ya masaa 2 anakuwa hewani
Afilisike kwa lipi? Kwani hizo fedha ni yeye anatoa? Si zinatoka kwa waumini wake.
 
Apostle Dunstan Maboya ni moja kati ya watumishi wa mungu wa miaka mingi sana na wenye Upako.
Nimeanza kumsikia Mtume Maboya toka mwaka 1989 na ameendelea kuitanua huduma yake kila pembe ya nchi hii na nje ya nchi.
Lakini nimekuwa nikijiuliza kwanini Mtume Maboya hajitangazi kwenye Tv kama mzee wa Upako na watumishi wengine? ambao siku hizi wame fanya ni fasheni kujipa promo kwenye Tv?
Je anapatikana wapi mtumishi huyu wa mungu kwa sasa?

Mm binafsi namkubali sana nabii maboya
 
Afilisike kwa lipi? Kwani hizo fedha ni yeye anatoa? Si zinatoka kwa waumini wake.

Hata kama zinatoka kwa waumini kwa wingi wa wale waumini ukiwatoa Mil 20 kwa week lazima wachemke
Ndio maana nimetilia shaka hiyo hesabu ya mil 5 kwa lisaa
 
Apostle Dunstan Maboya ni moja kati ya watumishi wa mungu wa miaka mingi sana na wenye Upako.
Nimeanza kumsikia Mtume Maboya toka mwaka 1989 na ameendelea kuitanua huduma yake kila pembe ya nchi hii na nje ya nchi.
Lakini nimekuwa nikijiuliza kwanini Mtume Maboya hajitangazi kwenye Tv kama mzee wa Upako na watumishi wengine? ambao siku hizi wame fanya ni fasheni kujipa promo kwenye Tv?
Je anapatikana wapi mtumishi huyu wa mungu kwa sasa?

Huyu jamaa nampenda sana, ni askofu wa Calvary Assemblies of God Tanzania na yuko kule Sombetini Arusha katika kanisa lake liitwalo Jesus Power Mirracle Centre, CAG.
 
Apostle Dunstan Maboya ni moja kati ya watumishi wa mungu wa miaka mingi sana na wenye Upako.
Nimeanza kumsikia Mtume Maboya toka mwaka 1989 na ameendelea kuitanua huduma yake kila pembe ya nchi hii na nje ya nchi.
Lakini nimekuwa nikijiuliza kwanini Mtume Maboya hajitangazi kwenye Tv kama mzee wa Upako na watumishi wengine? ambao siku hizi wame fanya ni fasheni kujipa promo kwenye Tv?
Je anapatikana wapi mtumishi huyu wa mungu kwa sasa?

Amemla sana msaidizi wake wa kike, kimama kirembo kimewekwa madhabahuni kazi kuhook up mapedeshee tu! Kamezalishwa sana
 
Apostle Dunstan Maboya ni moja kati ya watumishi wa mungu wa miaka mingi sana na wenye Upako.
Nimeanza kumsikia Mtume Maboya toka mwaka 1989 na ameendelea kuitanua huduma yake kila pembe ya nchi hii na nje ya nchi.
Lakini nimekuwa nikijiuliza kwanini Mtume Maboya hajitangazi kwenye Tv kama mzee wa Upako na watumishi wengine? ambao siku hizi wame fanya ni fasheni kujipa promo kwenye Tv?
Je anapatikana wapi mtumishi huyu wa mungu kwa sasa?

Maboya alisha wahi kuwa na scandal chafu sana miaka ya tisini wakati jina lake likiwa kubwa, alikuwa ana base moro akafungua matawi mengi mikoani, alikuwa akiingia kwenye mkoa, makanisa mengine yanakosa waumini kwa maana wote walihamia kwake. Sasa hivi anacheza kimya kimya.
 
Amemla sana yule msaidizi wake mrembo was like...ana skendo za uzinzi kibao

Skendal hizi ndo zilimfukuzisha moro, zilikuwa issue nyingi sana. Nasikia sasa kajibanza Arusha, wala huko havumi kabisa
 
Huwa mkiwaita manabii mnawafananisha na Musa na Haruni !?
Au Unabii/Utume una maana nyingine?

Manabii hawafanani labda ni muhimu kuelewa Nabii ni nani? Lakini huyu wanayemwita Nabii si Nabii bali ni Mtume na neno la Mungu/Yesu Kristo wa Nazareth anasema kuna huduma tano ambazo ni Manabii,Mitume,Wachungaji,Walimu na Wainjilisti na hizi ni huduma ambazo zipo kwaajili ya kuujenga mwili wa Kristo.Bila huduma hizo ndani ya Kanisa,Kanisa halijakamilika si maneno yangu bali ni Neno la Mungu ambalo kila mkristo anapaswa kulijua na kulisimamia Waefeso 4:11-12.
 
Back
Top Bottom