Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,974
- 13,429
Dawa ya kuua ni kuuawa
Nalog off
Nalog off
nafikiri hilo ndilo jambo la msingi,kwamba kwa nini alikua anaua hovyo?ni mzima kweli?ana hasira na nani?wapo wangapi wenye dukuduku na mtazamo kama wa kwake?tunaweza kushangilia kwamba tatizo limeondoka,kumbe wenye mtazamo kama wake wapo wengi!kama amekufa kwa pumu well and good(ila naamini hawakumpeleka hosp kwa matibabu)kama wamemrestisha ilikua ni mapema sana.
:flypig: