sosoliso, hawa jamaa wanatuona hamnazo kabisa.... nilicheka sana baada ya kusikia eti kafa kwa ugonjwa wa pumu.Nilisikia hizo habari.. nikacheka kidogo.. Ila baada ya kabanga kuikumbushia ndo ikabidi nicheke zaid.. Hata mtoto mdogo hakubali..
sosoliso, hawa jamaa wanatuona hamnazo kabisa.... nilicheka sana baada ya kusikia eti kafa kwa ugonjwa wa pumu.
hebu fikiria wamemtoa Tanga baada ya kichapo wamemkanyaga safari nzima hadi musoma sijui tarime halafu leo useme kwa pumu....!!!!?
Nivea mpaka sasa zinafanyiwa uhakiki kama ni za kweli au lal.. Ila haihusiki na mwanamke au kutendwa na mwanamke.. Inahusiana zaidi na kudhulumiwa mshiko..ahhhhhhh sosoliso nidokeze tu mimi baba why he was doing thay way .atleast nijue napenda san crime investigation kama hizi je alitendwa na mwanamke ?akaamua kulipiza kisasi?
lakini
kwa nini alikua anafanya hayo mauaji?