Mtuhumiwa wa mauaji ya Tarime

Mtuhumiwa wa mauaji ya Tarime

sosoliso

Platinum Member
Joined
May 6, 2009
Posts
8,543
Reaction score
9,480
Hii ni picha inayomuonyesha mtuhumiwa wa mauaji huko Tarime.. Picha hii ilichukuliwa wakati tayari yuko chini ya ulinzi.. Baadae alitangazwa amekufa kwenye mahojiano na Polisi..
 

Attachments

  • 1392108631257.jpg
    1392108631257.jpg
    40.8 KB · Views: 564
asante kwakutuletea picha ya mtu ailyejifanya mungu mtu, kutoa roho za watu 7 kwa siku mbili, alikuwa mtu hatari sana afadhali alivyokufa maana uwepo wake ungeendeleza maumivu kwa wahanga. sura mbayaaaaaaaaaaaaaaaa kama shetani
 
Huyu ilitakiwa wampe kichapo kama wale askari wa Africa ya Kati..
Hii ni picha inayomuonyesha mtuhumiwa wa mauaji huko Tarime.. Picha hii ilichukuliwa wakati tayari yuko chini ya ulinzi.. Baadae alitangazwa amekufa kwenye mahojiano na Polisi..
 
asante kwakutuletea picha ya mtu ailyejifanya mungu mtu, kutoa roho za watu 7 kwa siku mbili, alikuwa mtu hatari sana afadhali alivyokufa maana uwepo wake ungeendeleza maumivu kwa wahanga. sura mbayaaaaaaaaaaaaaaaa kama shetani

Ha ha ha ha Mkuu.. Jamaa kweli alikuwa na sura ya ukatili lol..
 
Ana sura ngumu na alikuwa tayari kwa chochote. Alikuwa anakondeana kwa kutoa roho za watu.
 
Ha haha.. Mkuu unafikiria ni kwanini ameristishwa ini pisi..? Alikula kichapo cha fisi pori..

Ahahahaa//lol..sipati picha walivyokuwa wanambana kwa kutumia electrical vice..hapo Pumbu lazima zilipasuka na lazima alisema kila kitu..wacha wamrestishe ini pisi..alikuwa ni janga huyu..
 
Hii ni picha inayomuonyesha mtuhumiwa wa mauaji huko Tarime.. Picha hii ilichukuliwa wakati tayari yuko chini ya ulinzi.. Baadae alitangazwa amekufa kwenye mahojiano na Polisi..


Mkuu usiwaamini sana Jeshi letu la Polisi, hawachelewi kumbambikizia mtu mwingine ili mradi waonekane wamefanya kazi!! Na polisi wetu hawajui kuhoji wao ni kupiga tu!
 
Mkuu usiwaamini sana Jeshi letu la Polisi, hawachelewi kumbambikizia mtu mwingine ili mradi waonekane wamefanya kazi!! Na polisi wetu hawajui kuhoji wao ni kupiga tu!

Mkuu hilo ninalijua sana but hii imetoka kwa chanzo cha kuaminika..
 
asante kwakutuletea picha ya mtu ailyejifanya mungu mtu, kutoa roho za watu 7 kwa siku mbili, alikuwa mtu hatari sana afadhali alivyokufa maana uwepo wake ungeendeleza maumivu kwa wahanga. sura mbayaaaaaaaaaaaaaaaa kama shetani

Mbuzi wa kafara,Mungu ndie mjuzi wa kila lililojificha inawezekana kwa asilimia mia ikawa hausiki kabisa.Mungu baba muwekeke mahali anapostahili ameen
 
lakini
kwa nini alikua anafanya hayo mauaji?
mwallu kuna sababu ambazo zinasemwa lakini zinaendelea kufanyiwa kazi pindi habari za uhakika zikipatikana nitakujuza hapa..
 
Last edited by a moderator:
Mbuzi wa kafara,Mungu ndie mjuzi wa kila lililojificha inawezekana kwa asilimia mia ikawa hausiki kabisa.Mungu baba muwekeke mahali anapostahili ameen

kwanini asihusike, waliomtaja ni washirika wake na kilichokua kinamkimbiza toka tarime -musoma-tanga ni nini? risasi aliyokuwa nayo na aliiacha kwa rafiki yake alikua anaulia mbwa mtaani? serikali ikiamua kutumia mkono wake mrefu huwa haishindwi bana, sema wakati mwingine hudharau kakini kweli wakiamu hutenda, isitoshe hii mijambazi si tunaishi nayo ndani ya jamii zetu, watu tu waoga kusema ila hali ikizidi ndio watu husema kweli
 
Misongo ya maisha na huleta maamuzi ya kutatanisha. Mtu ni akili tu, bila akili kwisha!
 
Kuna kitu watakuwa wamemtenda sasa analipa kisasi. Ona jinsi uso wake unavyoonesha machungu aliyokuwa nayo motoni.
 
Back
Top Bottom