nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,437
- 861
Jamani ninasikitika kuleta hili tukio la ajabu sana humu raia karipoti polisi kutapeliwa/kuibiwa kapewa rb no.mtuhumiwa kakamatwa na kufikishwa polisi akapotea ktk mazingira ya kutatanisha kisha mpelelezeli wa kesi hiyo anadai mtuhumiwa alidhaminiwa na polisi mwenzake ambaye ni boss wake na hakurejea tena,je nani awajibike hapo?????