Mtuache Warombo, kwa raha zetu

Mtuache Warombo, kwa raha zetu

Rombo tu ndio kwenyeviroba? Mbona hata huku mwanza vinapatikana kwa wingi.
 
Hiyo ni chai kaweka kwenye paket ya konyagi na kibaya zaidi sio mrombo anaigiza tuuu acheni dharau tatizo mnawagwaya sana wachagga kwani ni tishio kwa uchumi na biashara
 
Mhuuu warembo kulen raha ila kumbuka urembo kwa mtoto wa kike mwisho miaka 40 tuu na mbali na hapo utaanza kushindwa kula raha zako hzo
 
Mhuuu warembo kulen raha ila kumbuka urembo kwa mtoto wa kike mwisho miaka 40 tuu na mbali na hapo utaanza kushindwa kula raha zako hzo

Umepotea njia mkuu..... Ulikua unaenda mbagala wamekuleta kawe pole jipange kurudi
 
pelekeni vijana was jkt huko mtapata matokeo mazuri baada ya mud a mfupi hakuna mwanamke atakae lalamika kukosa khaki yake
 
Afadhali hii kitu imewekwa wazi kama ni kweli ili rombo izidi kujulikana. Sema tu sio rombo nzima ni kile kisehemu cha mpakani kinaitwa kikelelwa ndo kimejawa na hizo tabia. Sasa dc yeye akasema rombo nzima sema com skills nayo ni shida wakati mwingine.
 
pelekeni vijana was jkt huko mtapata matokeo mazuri baada ya mud a mfupi hakuna mwanamke atakae lalamika kukosa khaki yake

Vijana wa jkt si wadogo sana?
 
Hahaha mambo ya rombo hayo
 

Attachments

  • 1432457430434.jpg
    1432457430434.jpg
    22.9 KB · Views: 168

Similar Discussions

Back
Top Bottom