Uchaguzi 2020 Mtu timamu hawezi kushangilia matokeo haya

Ndugu zetu wa ccm kumbe wanaishi wakiwa hawana ubongo.
Unataka upewe haki yako ya kuchaguliwa,unazuiaje haki ya mpinzani wako?
Hizi akili za kupora uchaguzi ni za ccm tu,na hasa wale wasio na ubongo
IMG_20201029_120054.jpg
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Acha upoyoyo wewe, Kama waliopiga kura ni wengi kuliko waliojiandikisha ilikuwaje waliopiga kura wakawa nusu ya waliojiandikisha?
Daftari la wapiga kura Lina 29 milion, waliopiga kura milion 15. Acha unyumbu kuleta hesabu za kwenye vijiwe vya saccos iliyopata kipigo Cha shoga mwizi.
 
Kituo chenye wapiga kura 125,239 (registered voters) msimamizi anatangaza wamepiga kura 437,980, hata wizi hauko hivyo.

Uchaguzi ambao karibu nusu ya wagombea ubunge nchi nzima aidha wametekwa, wanashikiliwa na polisi au kujeruhiwa kwa silaha, utashangiliaje matokeo haya.

Matokeo ya uchaguzi ambao karatasi za kura feki zimezagaa mitaani nchi nzima.

Uchaguzi ambao wakati wa kuhesabu kura polisi wanaingia vituoni wanawatoa mawakala wote wa vyama vingine anabaki wakala wa CCM na msimamizi wa kituo wakihesabu peke yao.

Uchaguzi ambao OCD anaingia kituo cha kupigia kura anakwapua ballot box na kuondoka nalo.

Uchaguzi ambao matokeo yanaonyesha wagombea wote wa ubunge toka CCM wameshinda, matokeo ambayo yanakwenda kuunda bunge la chama kimoja.

Hata mwana CCM mwenye akili timamu hawezi kushangilia matokeo ya uchaguzi huu yanayokwenda kuligawa taifa.
Samahani naomba kujukishwa, vyama vya upinzani wameshinda viti viwili tuu au Kuna vilivyoongezeka? Vipi kuhusu Pemba ambako miaka mingine cuf ndiyo ulikuwa vinara Hali ikoje?
 
Hizi kura "Za Nyongeza" sio kote zimeshtukiwa. Na hata Kawe tuseme hicho alichokiona Mdee ni kituo kimoja, what about others?

Karatasi zilizobambwa ni "Genuine" kabisa, ndo kusema kua Tume walichapisha na karatasi za ziada wakawapa CCM.

Tumeingia gharama kubwa kuandaa haya maigizo. Ni heri tukawa hatuna Uchaguzi hizi hela zikaenda kwenye kazi zingine.
Wewe unashauri kusiwe na uchaguzi wakati mwenyekiti wa saccos anataka turudie uchaguzi? Kwanini hamueleweki?
 
Back
Top Bottom