Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,312
- 152,112
Ukipata jibu sahihi ndio utajua ni kwanini kila siku tunalalamika na ni kwanini tutaendelea kulalamika mpaka siku "masia" atakaporudi duniani.
Tumeweka jitihada zetu katika kulalamika na tumelala usingizi wa pona katika kujikwamua kutoka katika hali hii.
Yule jamaa aliposema sisi malofa hakukosea kabisa.
Tumeweka jitihada zetu katika kulalamika na tumelala usingizi wa pona katika kujikwamua kutoka katika hali hii.
Yule jamaa aliposema sisi malofa hakukosea kabisa.