Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,168
- 48,446
Lakini Kiranga hajasema kuwa misimamo si jambo la muhimu. Ila alitaka kujua kilichomo kwenye huo msimamo nini? Yaani kusimamia nini ili msimamo uwe msimamo?Mkuu ninempuuza tu pale alipoanza kuchangia kwamba kuwa na msimamo sio Muhimu.