Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,749
- 145,498
Kwani kama kaoa ndiyo hatakiwi kuweka mambo yake wazi?Aliyetajwa kuwa na msimamo kwenye Post.
Mambo gani?
Hujaeleweka, funguka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kama kaoa ndiyo hatakiwi kuweka mambo yake wazi?Aliyetajwa kuwa na msimamo kwenye Post.
Nilisema hivyo kama tahadhari..wengi ukiwaulizia kuhusu nafasi zao ktk jamii kama ndoa na watoto ukimbilia kinga ya privacy lakini wakiwa wanahitaji public sympathy ujitanabaisha kama public figures (meaning kwamba Mambo Yao yanapublic impact) Depends on how they want to play (double standards mostly).... Hopefully umenielewaKwani kama kaoa ndiyo hatakiwi kuweka mambo yake wazi?
Mambo gani?
Hujaeleweka, funguka.
Sent using Jamii Forums mobile app
These things are relative.
There is no objective standard.
So, unless someone claims to be objective, let others maintain their point of view.
This is why, even as I don't think of myself as a genius, I do not obsess about disputing their point if view.
I am "their genius", nit "the genius".
There is a big difference.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hata hujaelewa nilichoandika, kwa sababu hujui kusoma kwa ufahamu.nme andika sentensi mbili tu umekuja na risala ya kulazisha u genius haya umeshinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujasiri unajengwa hauji tu kutoka angani, kujiamini kwa membe kunatokana na hatua na mchakato wa maisha aliyopitia, kwa vijana walio wengi maisha hayawapi nafasi ya kujenga uwezo wa kujiamini badala yake wanabakia kuwa submissive kwa masters wao.
Ni vijimambo tu.
Kujua wapi kuishi kwa principle na wapi kuibishia formula ni kipaji ambacho watu wengi hawana.
Sent using Jamii Forums mobile app
msimamo Ni mkwamo umesimamaKuwa na msimamo si muhimu sana kama kuwa na msimamo sahihi.
Unaweza kuwa na msimamo wa kula mavi, hubadilishi.
Nao ni msimamo.
Pia, unapoongelea kuwa na msimamo, taja na kuhusu nini.
Mtu anaweza kuwa na msimamo katika jambo moja, halafu akakosa nsimamo katika jambo jingine.
Zaidi, kukosa msimamo si kitu kibaya wakati wote. Watu wenye maarifa hubadilisha maoni yao kwa mujibu wa habari mpya wanazopata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha,msimamo Ni mkwamo umesimama
Tatizo hata hujaelewa nilichoandika, kwa sababu hujui kusoma kwa ufahamu.
Na hiyo hata dibaji ya risala haijafika, nikiandika "War and Peace" utaweza kusoma?
nme andika sentensi mbili tu umekuja na risala ya kulazisha u genius haya umeshinda
Umesema hizi ni sentensi mbili? Tutajuaje sasa?Labda u jiniasi wa ujivuni na ubishi kaangalie majiasi wanavyo kua then uje u relate na huyu
Genius etimologically imetokana/ ina msingi mmoja na neno la kiarabu "jinn" Kiswahili "jini".Wewe ni genius wa ubishi sikuwezi , unalazimisha sijaelewa basi ume elewa wewe genius
Sent using Jamii Forums mobile app
Where there is a Pope, there must be an anti-Pope.
Huyo hata maana ya sentensi hajui.
Hiyo ipo.Nilisema hivyo kama tahadhari..wengi ukiwaulizia kuhusu nafasi zao ktk jamii kama ndoa na watoto ukimbilia kinga ya privacy lakini wakiwa wanahitaji public sympathy ujitanabaisha kama public figures (meaning kwamba Mambo Yao yanapublic impact) Depends on how they want to play (double standards mostly).... Hopefully umenielewa
Kuwa na msimamo si muhimu sana kama kuwa na msimamo sahihi.
Unaweza kuwa na msimamo wa kula mavi, hubadilishi.
Nao ni msimamo.
Pia, unapoongelea kuwa na msimamo, taja na kuhusu nini.
Mtu anaweza kuwa na msimamo katika jambo moja, halafu akakosa nsimamo katika jambo jingine.
Zaidi, kukosa msimamo si kitu kibaya wakati wote. Watu wenye maarifa hubadilisha maoni yao kwa mujibu wa habari mpya wanazopata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe nimelewanmaana ya msimamo haaaa wazanzibari wamekwamaHahaha,
Ukiwa na Hegelian dialectic maana yake msimamo wako mara zote ni kuuhoji msimamo wako, ili uendelee, usikwame hapo hapo.
Zamani wakati tunaangalia TVZ, walikuwa na bango ukifika muda wa kuzima TV (TV station ilikuwa na muda wa kuzimwa) wanaweka bango "Mapinduzi Daima".
Sasa mimi nikawa najiuliza, hawa watu wanataka kuuana kila siku kwa mapinduzi? Nilikuwa mdogo, sikuelewa.
Baadaye nikasoma nadharia za Georg Wilhem Friedrich Hegel na kuona alivyoandika kuhusu Agenda, Thesis, Antithesis, Synthesis, nikaelewa kwa nini wale Wazanzibari waliandika "Mapinduzi Daima". That was Hegelian Dialectic.
Sasa mtu wa msimamo hawezi kufanya Hegelian dialectic, kwa sababu yeye amesiamama kwenye msimamo wake.
Ha ha haa haya bana !Labda u jiniasi wa ujivuni na ubishi kaangalie majiasi wanavyo kua then uje u relate na huyu
Sent using Jamii Forums mobile app