Mtu asiyemsikiliza mkewe/ mumewe wa ndoa

Mtu ambaye haisikii sauti ya mkewe
kamwe hawezi kuitii sauti ya
wazazi wake mwenyewe waliomleta
duniani..
Tukumbuke kuwa wenzi wetu ni ubavu wetu... ni zaidi ya ndugu wa damu moja na ni zaidi ya rafiki wapenzi.Pia tukumbuke kuwa wazazi ni MIUNGU yetu wa duniani. Tusipowasikiliza tutakosa baraka za MUNGU wa mbinguni. MUNGU wa Isaka, Yakobo na Bujibuji

Bujibuji unawazaga kinyume nyume... Mi nadhani kama mtu hawasilizi wazazi, basi huyo hawezi kumsikiliza mumewe/mkewe..
 
Huyo ni mwanamke mwenzio, hawezi kuwa mwanaume kwa tabia hizo. Au kama kweli ujue anakushirikisha vitu vya kawaida tu, vile vinavyohitaji risk hatakiwi kukushirikisha.

Aaaaaahhh wap mwanaume kamili mie mwanaume asiponisikiliza yaan tusiposikilizana siwez kudumu katila mahusianoo
 
Aaaaaahhh wap mwanaume kamili mie mwanaume asiponisikiliza yaan tusiposikilizana siwez kudumu katila mahusianoo

Pamoja na yote hayo, unatakiwa uelewe kwamba Framework za Interpretation za mwanaume na mwanamke ziko tofauti sana, unachoki-interpreti hivi wewe mwanamke sivyo atakavyoki-interpreti yeye mwanaume, so kukwepa conflicts za interpretation inabidi mwanaume alazimishe baadhi ya mambo au afanye uamuzi moja kwa moja na akushirikishe kuratify tu ila sio kubadili chochote.

Vinginevyo mtakuwa hamfanyi kitu. Na ukimlazimisha kuendelea hivyo utamhribu, utashangaa utakuwa unashinda naye jikoni, chumbani, hadi ukienda kitchen party atakuwa anakusubiri nje kwa sababu ndivyo wanawake mnavyotaka.
 
Mie nilishindagwa kusikiliza bila kubisha ama kuuliza why? Mh. Maybe in my next lifetime nitaweza.
 
yaani nkamu umeamua kufunguka zaidi hapa
nimeipenda hii uzi yako yaani imenitouch sana
mwambie jouneGwalu amsikilize mkewe

Mtu ambaye haisikii sauti ya mkewe
kamwe hawezi kuitii sauti ya
wazazi wake mwenyewe waliomleta
duniani..
Tukumbuke kuwa wenzi wetu ni ubavu wetu... ni zaidi ya ndugu wa damu moja na ni zaidi ya rafiki wapenzi.Pia tukumbuke kuwa wazazi ni MIUNGU yetu wa duniani. Tusipowasikiliza tutakosa baraka za MUNGU wa mbinguni. MUNGU wa Isaka, Yakobo na Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
We mfuatile huyo kicheche kule jukwaa la Siasa ndo utajua ushetani wake....

Kicheche mama yako aliekuleta duniani tena kwa njia ya tigo maana ungetoka kumani sidhani kama ungenifatilia mie ambae hunijuii wewe ni nani mpaka unipangie cha kusemaa fanya shughuli yako iliyokuleta humu
Sasa unataka nifanane mawazo na wewe tulizaliwa wote hata waliozaliwaa hawafanani akili kwa sembuse mie umenionea humu unataka niku tombe au nikufire kihere here kikuishe m ----- wa baba yako nikomeeeeeeeeeee
 
Mim mpenzi wangu hajanioa lakin nikikataa kitu hafanyii,na akitaka kufanya kitu mpaka aniulizee,bila ya hivyo panachimbikaa

wewe noma kama ukikosa busara basi ukweni hutapendeka na kuna hati hati ya ndoa yako kuwa tulivu kama uliyonena ni kweli!!!!!!!!
 
Kicheche mama yako aliekuleta duniani tena kwa njia ya tigo maana ungetoka kumani sidhani kama ungenifatilia mie ambae hunijuii wewe ni nani mpaka unipangie cha kusemaa fanya shughuli yako iliyokuleta humu
Sasa unataka nifanane mawazo na wewe tulizaliwa wote hata waliozaliwaa hawafanani akili kwa sembuse mie umenionea humu unataka niku tombe au nikufire kihere here kikuishe m ----- wa baba yako nikomeeeeeeeeeee

hapa kweli kaingia cha kike sidhani kama atajibu, kakutana aseee!!!!!!!
 
hapa kweli kaingia cha kike sidhani kama atajibu, kakutana aseee!!!!!!!

Jamani mi sipend kutukanana lakin huyu Tedo ananifuata fuata kweli utadhani mi nimeolewa na babake kule jukwaa la siasa kila mtu anapenda chama anachokitaka kisa yeye yupo Chadema na wengine tuwe Chadema,ana bahati humu hatuonani ningemtandika mpaka akaomba poooo mwanaharamu mchambia zege kabisaa
 
sipati picha huyu bujibuji 2.jpg angekuwa Bujibuji au Mtambuzi pangekuwa hapatoshi kabisa
Mtu ambaye haisikii sauti ya mkewe
kamwe hawezi kuitii sauti ya
wazazi wake mwenyewe waliomleta
duniani..
Tukumbuke kuwa wenzi wetu ni ubavu wetu... ni zaidi ya ndugu wa damu moja na ni zaidi ya rafiki wapenzi.Pia tukumbuke kuwa wazazi ni MIUNGU yetu wa duniani. Tusipowasikiliza tutakosa baraka za MUNGU wa mbinguni. MUNGU wa Isaka, Yakobo na Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom