DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
Habari members,
Nina kijana wangu mdogo wa miezi 10, hivi karibuni nimegundua ni mashoto, hasa ninapojaribu kumpa kitu huwa anatanguliza mkono wake wa kushoto, nimemchunguza zaidi nimegundua hata mguu wake wenye nguvu zaidi ni wa kushoto. Mimi mwenyewe na mama yake wote ni malia, lakini Bibi yake ni mashoto. kwahiyo nikajua tu amerithi kutoka kwa Bibi yake.
Sasa wataalam ukiacha hili suala la kwamba linatokana na urithi. Kitaalam ni nini kinatokea katika mwili wa mtu tangu anazaliwa mpaka kinachomfanya awe mashoto au malia?. Au labda kuna tofauti yoyote ya kitaalam ndani ya mwili wa mtu anayetumia mashoto na yule anayetumia malia.
Nina kijana wangu mdogo wa miezi 10, hivi karibuni nimegundua ni mashoto, hasa ninapojaribu kumpa kitu huwa anatanguliza mkono wake wa kushoto, nimemchunguza zaidi nimegundua hata mguu wake wenye nguvu zaidi ni wa kushoto. Mimi mwenyewe na mama yake wote ni malia, lakini Bibi yake ni mashoto. kwahiyo nikajua tu amerithi kutoka kwa Bibi yake.
Sasa wataalam ukiacha hili suala la kwamba linatokana na urithi. Kitaalam ni nini kinatokea katika mwili wa mtu tangu anazaliwa mpaka kinachomfanya awe mashoto au malia?. Au labda kuna tofauti yoyote ya kitaalam ndani ya mwili wa mtu anayetumia mashoto na yule anayetumia malia.