Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,592
- 18,636
HIV - AIDS is a demon!ukimwi na malaria ni vitu vidogo sana mbele ya Mungu
Yesu ni Bwana na Mwokozi
Vinajificha sehemu gani ya mwili?hivyo baada ya kupotea kwenyedamu aau kujificha vinaendelea kuwa na uwezo wa kuambukiza?
Unaweza kuchukua tone la damu la victim wa HIV nakuliweka kwenye kidonda chako?Ndio na ukipima kwa kutumia blood serum havitaonesha reaction ya bar mbili.
Pili hato weza kukuambukiza virusi koo usiogope, sbb viko dormant akiacha kumeza vinaanza kuwa active na kuanza kujizalisha
MTU akiwa anatumia dawa virus vinaondoka katika mfumo wa damu au vinapungukiwa nguvu yake nakushindwa kufanya kazi in active way?Ndio na ukipima kwa kutumia blood serum havitaonesha reaction ya bar mbili.
Pili hato weza kukuambukiza virusi koo usiogope, sbb viko dormant akiacha kumeza vinaanza kuwa active na kuanza kujizalisha
Sayansi inahitaji research, koo hapa sijajua mwanangu ila virals load inakuwa ndogo sana kwenye damu, si wajua hawa viumbe ni rNAUnaweza kuchukua tone la damu la victim wa HIV nakuliweka kwenye kidonda chako?
Si kweli inashuka hadi moja lakini sio zero. Kwa hiyo ukipima bado vinaonekana.Kwa manufaa ya tusiojua na wanaojuwa watuhakikishie zaidi.7
Iko hivi hapa kazini kwangu jirani kuna duka la madawa,hivyo dada muuza dawa huwa tunapiga story za hapa na pale kiasi. katika story tukajikuta tunaongelea maambukizi ya UKIMWI. ndio nikamuuliza inawezekana kuna watu wanaleta dawa za ARV dukani kwako ili wasingudulike majumbani.. akasema ana watu wa hivyo kama watatu na wanampa pesa nzuri sana na nikiwaona siwezi jua kama tayari wanao.
Katika story akanitahadharisha juu ya watu fulani majirani mmoja ni dakitari ila cha pombe ambaya na huwa anakuja na mdada pale yule dada ana nata sana.. nikijua ni mke wake kumbe naye ni hawara yake tu. ndio akaniambia kuwa huyo jamaa tayari anao na kwa vile ni dakitari yeye anajua namna ya kujihudumia.. na mwanzo hakutaka waende na huyo dada bila kinga maana hataki maambukizi mapywa kwa usalama wake. lakini dada alikomaa wapime...
Kwa jamaa mwanzo aligoma ila akakumbuka kwa vile anatumia dawa na ni Muda mrefu anao na hataki maambukizi mapya wakakubaliana kupima kwa vile kipimo kidogo kwa maana ya kipimo cha kwenye kidole huwa hakisomi mwathirika anayetumia dawa vizuri.. dada na jamaa wamepima na wote wameonekana wako sawa..jamaa akamwambia nesi huyo dada anataka show ya kibabe hivyo kwa sasa jamaa ananunua dawa za kuongeza nguvu za kiume zile za bei ambazo zinakaa mwilini hata wiki mbili na sio za kumeza kila siku.
USHAURI TU. KAMA UNAAMUA KUPIMA PIMA KIPIMO KIKUBWA NA SIO HIKI CHA KIDOLE MAANA MTU HUENDA ANATUMIA DAWA NA ANAJUA FIKA KIPIMO HAKITA SOMA HIVYO KUPIMA KWAKE SIO TATIZO.
NB.. UKIWMI SIO MWISHO WA MAISHA WALA SIO MWISHO WA NDOTO ZAKO.. MAISHA NI YALE YALE TU
Nachojua Mimi ARV haziondoi virus kwenye damu bali zinavubaza/fifisha uwezo wa HIV kufanyakazi. Kwahio damu yenye HIV haiwezi kuwa clean kwasababu MTU anameza HIV.Sayansi inahitaji research, koo hapa sijajua mwanangu ila virals load inakuwa ndogo sana kwenye damu, si wajua hawa viumbe ni rNA
EeehYale Yale ukinywa coca afu ukaenda kupima kipimo kitasoma Negative hata Kama unao
hiyo ni kweli kabisa wala si uongoKwa manufaa ya tusiojua na wanaojuwa watuhakikishie zaidi.7
Iko hivi hapa kazini kwangu jirani kuna duka la madawa,hivyo dada muuza dawa huwa tunapiga story za hapa na pale kiasi. katika story tukajikuta tunaongelea maambukizi ya UKIMWI. ndio nikamuuliza inawezekana kuna watu wanaleta dawa za ARV dukani kwako ili wasingudulike majumbani.. akasema ana watu wa hivyo kama watatu na wanampa pesa nzuri sana na nikiwaona siwezi jua kama tayari wanao.
Katika story akanitahadharisha juu ya watu fulani majirani mmoja ni dakitari ila cha pombe ambaya na huwa anakuja na mdada pale yule dada ana nata sana.. nikijua ni mke wake kumbe naye ni hawara yake tu. ndio akaniambia kuwa huyo jamaa tayari anao na kwa vile ni dakitari yeye anajua namna ya kujihudumia.. na mwanzo hakutaka waende na huyo dada bila kinga maana hataki maambukizi mapywa kwa usalama wake. lakini dada alikomaa wapime...
Kwa jamaa mwanzo aligoma ila akakumbuka kwa vile anatumia dawa nmrefu anao na hataki maambukizi mapyakidogo kwa maana ya kipimo cha kwenye kidole hsomi mwathirika
Ukweli wapi hiyo ni kambahiyo ni kweli kabisa wala si uongo