Haya naombeni mnichukie ili nifanikiwe
Acheni roho mbaya bhana, em anza kunichukia, au hutak kuona mafanikio yangu 😎Naona anatupangia..!
Ndugu,
Usitakee kupendwa na kila mtu. Ndugu zakoo marafikii zakoo ukionaaa hawakupendwi ujue mafanikio yako yako karibu.
Wengi waliopendwa wakitaka kupendwa waliolazimishwa kupendwa na ndugu marafiki leo wanateseka.
Kwenye chuki ndio kuna upendoo. Yule anaekuchukia usimchukie mpende ndio anatengeneza maisha yako ya badae na mafanikio yako.
Nakutakia weekend njema ya upendo na mafanikio mpendwa