Mtu anayejua wapinianzie tafadhali naombeni msaada.

Mtu anayejua wapinianzie tafadhali naombeni msaada.

bunga88

Member
Joined
Nov 4, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Habari wana jamvi mm mwenzenu nasumbuliwa na ugonjwa ambao cjui unasababishwa na nn,unaitwaje.kiukweli natoka vipele vikubwa vikubwa nyuma ya shingo yangu yapata mwaka ss lakini kadiri cku zinavyosonga mbele ugonjwa ndo unazidi kukua.plz plz ndugu zangu naomba msaada wenu kwa kuwa huu ugonjwa unaninyima raha an.
 
Habari wana jamvi mm mwenzenu nasumbuliwa na ugonjwa ambao cjui unasababishwa na nn,unaitwaje.kiukweli natoka vipele vikubwa vikubwa nyuma ya shingo yangu yapata mwaka ss lakini kadiri cku zinavyosonga mbele ugonjwa ndo unazidi kukua.plz plz ndugu zangu naomba msaada wenu kwa kuwa huu ugonjwa unaninyima raha an.

Nenda hospitali kawaone wataalamu.
 
Ilo tatizo lumekuanza lini?Umeshaenda kuchekiwa hospital yoyote? uko walikupa majibu gani?

kama haujaenda popote basi mie nitakupa msaada wa kitaalamu kidogo..Iyo inawezekana ni aleji na aleji za namna iyo zinatokana mara nyingi na kuzama kunako chumvi(natania)..inawezekana ni matezi ayo kacheki kwa wataalamu,,maana maisha aya kuwa na tezi shingoni how come kweli bob,wahi matibabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom