Habari zenu wanajamii forum.mimi ni kijana ninayesoma Minaki high School,dar es salaam kwa combination ya PGM.nilikuwa naomba kujibiwa swali langu kuwa,mtu anayechukua PGM and then labda akafeli Geography,anaweza kuwa Engineer wa Ndege(aerotical Engineer)? Na huwa anasoma miaka mingapi? Ahsanteni kwa majibu Yenu wakubwa.