Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,638
shujaa imad aliuawa na milipuko iliyokua imewekwa katika spair tyle ya gari yake.
ina maana walitegea amepaki gari,wakareplace spair taili na yenye milipuko.
wakagonja amerudi garini na kulipua kwa remote control.
pia hezbollah haikuwepo miaka ya 70.
ni kikundi cha kijeshi kiliundwa kupambana na uvamizi wa israel katika nchi ya lebanon miaka ya 80
uko sahihi baada ya tukio la black september kuna mambo mengi sana baina ya Israel na majirani zake kuanzia 1960's na 1990's matukio ya kutisha sana hapo