Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,959
Yaan
Heb ngoja kwanza.
Niseme kwamba mimi bado nakula ujana.. sina hata mtoto wa kusingiziwa.. natarajia nifanye maamuzi ya kuwa na mtoto kuanzia mwakani labda...
Haijalishi wa kiume au wa kike.
Ila sasa, kwa niliyoyashuhudia leo wakati wa mchana nilitoka mara moja nikaelekea mahala fulani, duka fulani kutafuta kitu fulani.
Sasa nipo mule ndani natafuta huku na kule nikawakuta teenagers wa kike na kiume yaani inaonekana ndo damu inachemka.
Itakuwa lazima mwaka wa kwanza ama ndio vinataka ingia chuo..yaani vinabebishana hadi kero.
Tule twa kiume tuna gu panki ka jogoo. achachacha
Mara washikane mikono mara wanyanganyane simu ndani ya duka humo.. mara wa kike amshike sikio wa kiume
Kimoyo moyo nikasema hivi we mtoto wa kike, baba yako anajua unayoyafanya huku?
Walah Mungu akijaalia ..mtoto wangu wa kike ..ntaua mtu ...sitaki ujinga..yaani mim ntakua baba mnoko...yaan staki upu.mbafu kabisaa. Yaan sina la kusema
Nilichefukwa sana
Uzi tayar
(Ingawa namim nilichafua sanaaa enz zangu )
Heb ngoja kwanza.
Niseme kwamba mimi bado nakula ujana.. sina hata mtoto wa kusingiziwa.. natarajia nifanye maamuzi ya kuwa na mtoto kuanzia mwakani labda...
Haijalishi wa kiume au wa kike.
Ila sasa, kwa niliyoyashuhudia leo wakati wa mchana nilitoka mara moja nikaelekea mahala fulani, duka fulani kutafuta kitu fulani.
Sasa nipo mule ndani natafuta huku na kule nikawakuta teenagers wa kike na kiume yaani inaonekana ndo damu inachemka.
Itakuwa lazima mwaka wa kwanza ama ndio vinataka ingia chuo..yaani vinabebishana hadi kero.
Tule twa kiume tuna gu panki ka jogoo. achachacha
Mara washikane mikono mara wanyanganyane simu ndani ya duka humo.. mara wa kike amshike sikio wa kiume
Kimoyo moyo nikasema hivi we mtoto wa kike, baba yako anajua unayoyafanya huku?
Walah Mungu akijaalia ..mtoto wangu wa kike ..ntaua mtu ...sitaki ujinga..yaani mim ntakua baba mnoko...yaan staki upu.mbafu kabisaa. Yaan sina la kusema
Nilichefukwa sana
Uzi tayar
(Ingawa namim nilichafua sanaaa enz zangu )