Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
naomba ushauri wana jf, katika familia yangu tumejaaliwa kupata mtoto wiki tatu zilizopita. ila mtoto tumbo linajaa gesi na mtoto anasumbua sana usiku wote. naomba ushauri wenu
kanajamba ?
Hakikisha akiwa ananyonya hewa haingii tumboni.kanajamba sana mkuu
mtoto akiwa ananyonya hakikisha position aliyokaa ni nzuri na chuchu yote iingie mdomoni
View attachment 1223558