Mtoto wa Waziri David Mathayo, arekodi Video chafu

Mtoto wa Waziri David Mathayo, arekodi Video chafu

Ngoja ntafute pesa nipeleke mahari kwa David Mathayo ana mtoto mzuri sana.
 
Nini hiyo kitu ,hivi juzi nimeletewa kitu toka ktk baadhi ya vyuo nchini na nimejionea mwenyewe jinsi hii society yetu inavyozidi kuzama,moja ilikuwa wasichana wako watatu toka ktk chuo kimoja huko Dodama wanaonyesha jinsi ya kupandana,yaani wale mabinti walivyokuwa wanafanya naona siku si nyingi wote watageuka wasagaji na wataanza kusagana wenyewe kwa wenyewe.Halafu nyingine hiyo ni rahisi kuipata mitandaoni,kule ktk chuo kikuu cha Tumaini Iringa kuna mwengine yeye kajirekodi mwenyewe ndani ya chumba chake chuoni na unaweza ukampata through youtube,search mwanafunzi wa chuo kikuu tumaini akata mauno whatsapp.ikisha funguka utamuona mwanamke amevaa kanga kiunoni na ukii click ataanza mara moja kuvikata,yaani ni balaa tupu,hata wale malaya wa Baikoko au Khanga moja hawamfikii yule binti alinifanya hata hamu ya mtu wangu wa kawaida kupungua yaani yule binti anaweza akaharibu ndoa za watu ni hatari lakini ni salama pia.Nimeshukuru hii topic imewekwa hapa kwani hata mimi baada ya kuwaona mabinti wa kule chuoni Dodoma pamoja na yule wa Tumaini nilikuwa najiuliza kila siku kwanini haya mambo yanayoonekana kuota mbawa hatuyazungumzii,inatisha sana.Watafuteni mtajionea wenyewe,nilikuwa nimesahau kidogo kule Dodoma ni chuo cha mipango.Hawa mabinti ndio tunawategemea baadaye wakimaliza masomo yao ndio wawe viongozi,kweli hilo litawezekana? Mr.Murage Msherwampamba.
 
Habari wadau,

Mtoto wa aliyekuwa waziri wa mifugo Dr. David Mathayo amerekodi video ya ngono akiwa na wanafunzi wenzake.

Kwa maadili ya JF video haiwezi kuwekwa humu.Tunawaomba wanafunzi wakazanie masomo waachane na mambo ya kuiga kwani hayana manufaa yeyote kipindi cha masomo.

View attachment 228457

David Mathayo Akiwa na Binti yake aliyerekodi video ya ngono.
View attachment 228458

Mum inpatient link mana his night album sana
 
Kwa video hiyo kangekuwa kamefikisha angalau miaka 25 kasingeukosa u'DC.
 
Mbona mke wake ni mzuri... ushepu wa haja... kajaaliwa ilivyo huyo mama

Huyo mama wkt yupo secondary, advance na chuo, alikuwa nyoko manina. Ukipishana nae unaweza tetemeka km unapishana na umeme wa grid ya taifa. Alikuwa bonge la beauty, white, hips,puwa ya kizungu, kaenda hewani, demu alikuwa km chotara, kichwani yupo bright, sikuwahi sikia scandal. Namfahamu kwa jina la Pamela, ni mwanamke wa kichaga. Aisee alikuwa akikusalimia, lazma uka
hadithie wezio. Baada ya kupiga one za kutosha, akaenda kusoma nje, nadhani ndo waliko kutana na Mh., c unajua tena km una pesa! Yaan hapo naona kawa mama tayari mbona, lkn Mh. Mathayo ni mmoja ya viongozi waliobahatika kuoa wanawake wazuri.
Huyo mtoto km ni kweli kamwaibisha mamaake maana watoto wa kike hulelewa na mama, eeh mungu tusaidie jaman, maada kwa akiri zetu za kibinadamu hapa ndo tulipo fikia.
 
Naona jina la alie post kwenye tweeter sijui limefuta kwa wino mweupe halafu kuna jamaa Bakari Masasi kakomenti kwa ku mention jina la Julius Mtatiro.obvious alie tweet hii kitu ni mtatiro na sijui jina limefutwa kwa sababu ipi?

Uwoga?
 
Dah jaaamani acheni banana....amekiss tu hakuna ngono uliyofamyika hapo
 
Back
Top Bottom