Maji kupwa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2019
- 315
- 332
Mbona kama umeitikia tu ili yaishe?
Ila wewe unamuonaje warumi?
Hata mimi nilikuwa sijui kama huyu jamaa ni demu.Kumbe we ni wa kike...ndo maana umbea mwingi...nilikuwa najiuliza huyu mwanaume gan kila saa anapost shudu!?
Sent using Jamii Forums mobile app


Japo pia anaonekana ana huruma sana, niliona jinsi alivyokuwa anawabembeleza wadogo zake mpk nikajisikia vibaya.Mie namuona wa kawaida tu. Kinachombeba ni jina la baba yake na urithi atakaopewa.
Handsome/Beautiful kweli ni opinion
Tuseme hilo body hujaliona kabisa? Ile sauti je? Huyu mtoto ana haiba zote za kiume kumpagawisha mwanamke yeyote kimtazamoHandsome/Beautiful kweli ni opinion
Hivi huyu ndo handsome wa kufanya mtu apagawe hadi kuandika thread!!?
Kwel uzuri upo machoni pa atazamae
Sent using Jamii Forums mobile app