Mtoto wa rais anaswa akipima 'ngoma'

Mtoto wa rais anaswa akipima 'ngoma'

ALIYEPIGA PICHA,ALIYEPIMA ,NA ALIYELETA HII HABARI WOTE WAPUMBAV.U SANA. NA kapuya anawahitaji kwa kazi maalumu.
 
Huyu jamaa alishapima kimya kimya jana yake, then akawaita waandishi waje wampige picha wakati wa kupima (siasa hizi)!

Hizi picha zinaoneka ni za kuarifiana, kwa sababu pia vyumba viko closed, mtu hawezi kupiga picha kimya kimya bila kuonekana.

keshokutwa utasikia kaongoza kura za maoni!!?
 
Mkuu ndo udaku huo kama ulikuwa hujui.

Tena udaku wa kupanga, kati ya mtoto wa raisi na global publishers. Huoni picha zinaonyesha kajiandaa kabisa! Umaarufu usokuwa na maana!
 
Hii habari hadi mtoa thread shake before use naona anataka ku induce stigmatism
 
Na akienda toilet tunaomba picha na maelezo pia.... nyambafu!
 
Sijaona la ajabu hapa maana mtoto wa Rais na mtoto wa mkulima kwenye kupima ngoma wote ni sawa. Sasa cha ajabu ni kipi? Ama H.I.V hupimwa na watoto wa maskini tu ama? Ukimwi haubagui uwe tajiri/maskini. Uwe mnene/ mwembamba. Uwe Rais/mkulima.
 
Kwa habari kama hz jf inashushiwa heshima yake. M2 kuja na jambo la kipuuzi kama hili.
 
Back
Top Bottom