Mtoto wa mwanasiasa waziri alivyonitapeli

Mtoto wa mwanasiasa waziri alivyonitapeli

Hata mm umenidhalilisha huwezi kuja na Mumeo ktk Contract kubwa km hii
 
We should learn to remember if not to forget!
 
hadithi ya kubuni. Kama ni kweli mtaje jina
 
Watu kama hawa wakileta thread isipochangiwa wanakuwa wakali eti watu wanachangia kwa upendeleo..........

Sasa hii ni kitu gani sasa??? Upuuzi mtupu
 
mimi nilijua bongo movie ndo wanapendaga Paty two! kumbe hata HUKU!
 
Usiifanye jf km move za bongo ambazo lazima ziwe na part 2, ungeiandaa yote pemben ndo ukaiweka hapa sasa hapautasaidiwa nn.
 
Haah lipa pesa zangu, maana kama ulipi kudhalilishwa ndio njia pekee, ili kila mmoja akujue. Si unaona story itaendelea kesho, bado una muda wa kulipa.

ungemaliza kuondoa utata kwa watu
 
hivi kuna watu bado wanaibiwa kwa kutumia kopi ya picha ya mwalimu?

Uji.nga uji.nga!

Mtoto wa Waziri Sonyo ndio nini?
 
Kuna haja gani ya kuiweka nusunusu halafu haieleweki??
Sasa kama hapo unataka nini??

Ok! Hongera! au Pole!

Anataka roho zote zikae kiumbea umbea mda wote mpaka alete part 2

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Hii nafikiri inaweza kuwa njia rahisi ya kumfikia mheshimiwa waziri.

si ungemvamia bungeni?au ukauze stori kwa shigongo? Kama unataka ushauri njoo straight, hizi mambo za bongo movies za stay tuned for part 2 huwa hatuzifagilii humu aisee
 
Back
Top Bottom