Nimeshamjua...
hata mimi
Haah lipa pesa zangu, maana kama ulipi kudhalilishwa ndio njia pekee, ili kila mmoja akujue. Si unaona story itaendelea kesho, bado una muda wa kulipa.
Nimeshamjua...
Kuna haja gani ya kuiweka nusunusu halafu haieleweki??
Sasa kama hapo unataka nini??
Ok! Hongera! au Pole!
huo ushamba tu! hatutaki hiyo part 2 yako kaa nayo, umeona hatuna kazi mpaka tuje kesho kusubiria part 2 yako?
Hii nafikiri inaweza kuwa njia rahisi ya kumfikia mheshimiwa waziri.