mtoto wa mtoto wa mkulima anasoma shule ya 17mil kwa mwaka.

Kwa huu mtindo wa kutumia forex kiholela,makonda nao watataka kulipwa kwa USD..
 
Fee Structure

Fee structure yake hii hapa,
...Mkuu hiyo fee structure sio imetulia. Kama viongozi wetu wanapanda majukwaani na kuhubiri kuendeleza elimu kwenye shule za kata wakati wao watoto wao ndio wanasoma kwenye shule za kulipa ada kwa fee inayozidi hata ada ya mwanafunzi wa chuo cha elimu ya juu ni wazi wanatuingiza porini. Watoto wetu wataishia kuwa matarishi tu......mbaya kabisa.
 
kwani aliposema account yake ni mil 20 mlimwamini?? yaani watza mko wa ajabu sana.
1.Mshahara wa PM ni kiasi gani kila mwezi?
2.anapata allowance kiasi gani?
3.trip kiasi gani?
3.Pesa za chakula zote analipiwa yani ziko nje ya mashahara
4.maana yake huwa haushiki huo mshahara wake
5.kama ni kweli huwa haushiki huo mshahara wake je hizo pesa huwa zinakwenda wapi??
Huo ulikuwa ni uongo mtakatifu kabisa.[QUOTE=mpenyo;1681886]Wanandugu nimesikia mtoto wa kiranja mkuu a.k.a mtoto wa mkulima anasoma St.Consta' Arusha,shule ya 17million per year wakati mkulu huyo alisema account yake ina 20million tu.
Naomba kuwakilisha[/QUOTE]
 
Wanandugu nimesikia mtoto wa kiranja mkuu a.k.a mtoto wa mkulima anasoma St.Consta' Arusha,shule ya 17million per year wakati mkulu huyo alisema account yake ina 20million tu.
Naomba kuwakilisha
Ni haki yake, haiwezekani mtoto wa waziri mkuu asome shule za kata hata wewe usingekubali, Cheo cha waziri mkuu sio kidogo hata hivyo sidhani kama kuna shule inatoza gharama hizo kwa sasa hapa tz hata nje ya nchi kama zipo tunaomba mtu atuwekee risiti za ada za shule hiyo ili tuifahamu.
 
Mlimani tumesoma na mtoto wake,PINDA REBEKA P. Board ya mikopo ilimpa asilimia 80%,kuna usawa kweli?mtoto wa Waziri Mkuu anapewa mkopo mkubwa kuliko mtoto yatima asiye na msaada wowote.
 
mna uhakika na hilo?hv tanzania kuna shule mtoto analipa ada millioni 17 kwa mwaka tena ni primary school embu tunaomba jina la hiyo shule tuijue kwanza
ZIKO NYINGI TUU HII HAPA NI ISM IKO MOSHI NA IMEJAA WABONGO KIBAO
ISM Fees

[SIZE=+1]Annual Fees 2010/11 and 2011/12[/SIZE]
Class2010/11
US$ per year
2010/11
TSh
(approx)2011/12
US$ per year
2011/12
TSh
(approx)Early Childhood5 1007.6m/-5 2007.7m/-Primary P1-P610 90016.3m/-11 20016.7m/-M1-M3 [SIZE=-2](Class 7 - Form 2)[/SIZE]14 40021.5m/-14 70022m/-M4 & M5 [SIZE=-2](Form 3 - 4)[/SIZE]15 10022.6m/-15 50023.2m/-Additional for P3-M5 Boarders4 3006.4m/-4 4006.5m/-D1 & D2 [SIZE=-2](Form 5 - 6)[/SIZE]17 10025.6m/-17 50026.2m/-Additional for D1 & D2 Boarders6 300
 
Mlimani tumesoma na mtoto wake,PINDA REBEKA P. Board ya mikopo ilimpa asilimia 80%,kuna usawa kweli?mtoto wa Waziri Mkuu anapewa mkopo mkubwa kuliko mtoto yatima asiye na msaada wowote.

hilo nalo neno
 
uongo tu mradi mmempaka kinyesi,wanasoma St.Patrick na kama unahitaji ada yake kwa mwaka utapewa vilevile:rain:
Watoto wa JK washahama siku nyingi st patrik ars sasa hivi wale wawili khalfan na mwenzake wanasoma savanah plains shinyanga tafuta fee structure ya huko utafrahi
 
Wanandugu nimesikia mtoto wa kiranja mkuu a.k.a mtoto wa mkulima anasoma St.Consta' Arusha,shule ya 17million per year wakati mkulu huyo alisema account yake ina 20million tu.
Naomba kuwakilisha

Acha umbeya.
we ulitaka ampeleke shule za kata.
 
unatoka wapi wewe?unakaa wapi na mkoagani unatoka we jamaa?milioni kumi na saba kwa wenzio wanaweka kwenye wallet,ada ukiambiwa wewe unaweza fikiria kuitajirisha familia yako.alakini sikushangai kwa kustaajabu kwako,kama uko mtwara,lindi,nanjilinji,kigoma,huko lazima ushangae.na pia kunawatu wapo mjini alakini wanatoaga mimamcho tu,hata hawaelewi nini kinaendeleaga ndani ya nchi yao,kunawatu ukiwambia mambo ya epa ,dowans,meremeta,kagoda,rada ,wala hata haelewi unazungumza nini,wapowapo tu wala hajui hata lolote linaloendelea ndani ya nchi yake.yeye mwanae kusoma shule ya kajamba nani anaona ni stahili yake,au au mwanae kusoma akiwa amekaa sakafuni anaona sawa tu.au eyeye kukosa elimu anaona ni kosa la wazazi wake sio mapungufu ya viongozi wake na siasa mbovu na ubinafsi na tamaa.sanuka ndugu achana na hizo jezi za kijani na njano,au kuridhika na nyimbo za iena iena na vitisho vya uvunjifu wa amani.
 
Back
Top Bottom