mtoto wa mtoto wa mkulima anasoma shule ya 17mil kwa mwaka.

kwani hizo milioni 10 zinatoka mfukoni mwake au kwenye fungu maalum ambalo
lipo chini ya waziri mkuu? kama zinatoka mfukoni mwake hongera zimfikie

Jina la mtoto wa mkulima alipewa na sisi tuache unafiki. Kuwa na miln 20 kwa wakati fulani ajabu cha kuuliza analipwa mshahara kiasi gani? Mbna ameahidi kuchangia UDSM 10mln kila mwaka mpaka mhula wake uishe? Sioni ajabu kumsomesha mwanae hapa nchini hata ikiwa 100mln kuliko kumpeleka ulaya.

Tuachane na hayo yote aliyetoa mada kasema anasikia mimi namjibu aachane na story za vijiweni na zisizokuwa na uhakika maana mwishoni utabaki kuitwa mzushi. Search for true information before chuki zako humu JF
 
hizi post za nasikia,inasemekana,inafikiriwa,inatazamiwa,inaonekana,walisema,inasadikika hebu tujitahidi kuleta issues zenye ushahidi humu Jf.
 
Wanandugu nimesikia mtoto wa kiranja mkuu a.k.a mtoto wa mkulima anasoma St.Consta' Arusha,shule ya 17million per year wakati mkulu huyo alisema account yake ina 20million tu.
Naomba kuwakilisha

kwani mshahara wake sh ngapi hadi ashindwe hizo m17?
Akaunti kuwa na 20m maana yake zingine zipo kwenye mzunguko. Pesa lazima izae pesa baba.
Majungu sio mazuri.
 
Wanandugu nimesikia mtoto wa kiranja mkuu a.k.a mtoto wa mkulima anasoma St.Consta' Arusha,shule ya 17million per year wakati mkulu huyo alisema account yake ina 20million tu.
Naomba kuwakilisha

:rain:mh! sasa hiyo ni primary mpaka amalize la saba hizo million c mchezo! ni mijihela
 
Majizi tu hayo,analima eka ngapi na shamba lipi akapata hiyo hela?mbona wakulima wote wa tanzania wangekua na hiyo milioni ishirini tanzania tusingekua na njaa wala kilimo cha jembe la mkono kama ilivyo sasahivi.tanzania tuna ma ma bustani sio mashamba,hivyo hatuna wakulima.
 
Ni mtoto wa mkulima asiye mkulima. Hata Lowasa nae ni mtoto wa mkulima. Issue si kuwa mtoto wa mkulima, issue ni kuwa anafanya nini kutukwamua wakulima tulioko huku Pandagisiza Nzogwinaminzi ambao tunapoteza ndugu zetu kwa kukosa aspirini mahospitalini. Kama hawezi kutukwamua sisi tulioko vijijini kwa kusimamia sera makini za uchumi basi utoto wake wa mkulima hauna maana kwetu. Ni heri tupate mtoto wa bepari anayeweza kutukwamua katika majanga yanayotukabili huku bush

mkuu hii sehemu ipo wapi,nime google haipo zaidi ya jf,nijuve nipatembelee huko Nzogwinaminzi
 
jamani hiyo shule ya 17m wanafundisha nn cha zaidi?tuambiane jamani na sie 2peleke wane2
 
Wanandugu nimesikia mtoto wa kiranja mkuu a.k.a mtoto wa mkulima anasoma St.Consta' Arusha,shule ya 17million per year wakati mkulu huyo alisema account yake ina 20million tu.
Naomba kuwakilisha

sio kila mkulima ni maskini... kwa wenzetu wakulima ndio matajiri
 
tunadanganywa kwa lugha nyepesi.... hakuna mtoto wa kulima wala wa mfanyabiashara... wanasiasa have taken over all priviledges za watanzania wa ukweli
 
huyu anayejiita mtoto wa mkulima, wala hatukumuita sisi tuache kujilaumu hatuna confidence kabisa yaani kila baya tumelifanya sisi? hana cha ukulima wala utoto wa mkulima ni fisadi mchovu tena mtendaji mbovu kabisa. Mpaka sasa namuona ndio PM mbovu kuliko wote waliowahi kushika nafasi hiyo, ameacha kufanyakazi tuliyomtuma ya ukiranja yuko kurambaramba makundi hapo alipo yupo kufunga gidamu za mafisadi hana lolote huyo mnafiki mkubwa na mtendakazi mbovu sana once a clerk always a clerk, anachojua ni kusukuma ma file tu, sasa angalia kitendo alichofanya kwa Magufuli, did he have to put him down kwa media tena akiwa kwenye jimbo lake la uchaguzi? hivi ni nani kati yetu angeweza kuvumilia hilo, mbona hakumjibu hivyo Ngeleja kwenye swala la Dowans? nikifikiria hivyo natamani maandamano kama yale ya tunisia yaje kesho tunachezewa hata na washamamba hapa ndio maaana of course shule anayosomeshewa maana najua hasomeshi mwenyewe ni ya gharama sana japo kwa kipato chake angeweza tu kufanya hivyo, tazama mikakati yake ilivyo ya mibovu, Kilimo kwanza mpaka leo hatujui kama ni sera ama mkakati? is it a policy or a strategy, or both? kageuza nchi zima ya ma power tiller can you imagine? sasa analalamika zinabebea harusi alitaka zifanyie nini? Pole JK maana watanzania tutawatoa tu mtake msitake tumechoshwa na ukalulu wenu
 
huyu anayejiita mtoto wa mkulima, wala hatukumuita sisi tuache kujilaumu hatuna confidence kabisa yaani kila baya tumelifanya sisi? hana cha ukulima wala utoto wa mkulima ni fisadi mchovu tena mtendaji mbovu kabisa. Mpaka sasa namuona ndio PM mbovu kuliko wote waliowahi kushika nafasi hiyo, ameacha kufanyakazi tuliyomtuma ya ukiranja yuko kurambaramba makundi hapo alipo yupo kufunga gidamu za mafisadi hana lolote huyo mnafiki mkubwa na mtendakazi mbovu sana once a clerk always a clerk, anachojua ni kusukuma ma file tu, sasa angalia kitendo alichofanya kwa Magufuli, did he have to put him down kwa media tena akiwa kwenye jimbo lake la uchaguzi? hivi ni nani kati yetu angeweza kuvumilia hilo, mbona hakumjibu hivyo Ngeleja kwenye swala la Dowans? nikifikiria hivyo natamani maandamano kama yale ya tunisia yaje kesho tunachezewa hata na washamamba hapa ndio maaana of course shule anayosomeshewa maana najua hasomeshi mwenyewe ni ya gharama sana japo kwa kipato chake angeweza tu kufanya hivyo, tazama mikakati yake ilivyo ya mibovu, Kilimo kwanza mpaka leo hatujui kama ni sera ama mkakati? is it a policy or a strategy, or both? kageuza nchi zima ya ma power tiller can you imagine? sasa analalamika zinabebea harusi alitaka zifanyie nini? Pole JK maana watanzania tutawatoa tu mtake msitake tumechoshwa na ukalulu wenu

Teh teh teh teh,nimecheka sana kumbe power tillerz zinabeba harusi ,watu ni noma ...kudadadadeki zao
 
Wanandugu nimesikia mtoto wa kiranja mkuu a.k.a mtoto wa mkulima anasoma St.Consta' Arusha,shule ya 17million per year wakati mkulu huyo alisema account yake ina 20million tu.
Naomba kuwakilisha

KAKA ULIFANYTA UTAFITI KWANZA? HEBU ANGALIA FEE STRUCTURE YA HIYO SHULE
[FONT=arial,helvetica]
[/FONT][FONT=arial,helvetica]
[/FONT]

[FONT=arial,helvetica]
Fee Schedule – 2010 - 2011
THE ACADEMIC YEAR HAS THREE TERMS
FEE SCHEDULE - Per Year w.e.f 2010 - 11
[/FONT] [FONT=arial,helvetica] Full year fee in USD [/FONT] [FONT=arial,helvetica] TUTION FEE ONLY [/FONT] [FONT=arial,helvetica] USD $[/FONT] [FONT=arial,helvetica] BOARDING FEE ONLY [/FONT] [FONT=arial,helvetica] USD $ [/FONT] [FONT=arial,helvetica] Nursery & Reception [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 1500[/FONT] [FONT=arial,helvetica] Reception to Year 5 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 3480 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] Year 1 & 2 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 2190 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] [/FONT] [FONT=arial,helvetica] [/FONT] [FONT=arial,helvetica] Year 3 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 2820[/FONT] [FONT=arial,helvetica] [/FONT] [FONT=arial,helvetica] [/FONT] [FONT=arial,helvetica] Year 4 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 2910[/FONT] [FONT=arial,helvetica] [/FONT] [FONT=arial,helvetica] [/FONT] [FONT=arial,helvetica] Year 5 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 3150[/FONT] [FONT=arial,helvetica] [/FONT] [FONT=arial,helvetica] [/FONT] [FONT=arial,helvetica] Year 6 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 3270[/FONT] [FONT=arial,helvetica] Year 6 & 7 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 3690 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] Year 7 to Year 9 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 5220[/FONT] [FONT=arial,helvetica] Year 8 to 10 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 5160[/FONT] [FONT=arial,helvetica] IGCSE Year 10 & 11 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 5820[/FONT] [FONT=arial,helvetica] Year 11 Term [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 5460 [/FONT] [FONT=arial,helvetica] A - Levels [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 8175[/FONT] [FONT=arial,helvetica] A Levels [/FONT] [FONT=arial,helvetica] 7500[/FONT] [FONT=arial,helvetica]
[/FONT] [FONT=arial,helvetica] Registration Fee - at the time of Registration only (Non Refundable)[/FONT] [FONT=arial,helvetica] USD 400 $ per Student [/FONT] [FONT=arial,helvetica] Optional Lunch Fee [/FONT] [FONT=arial,helvetica] USD 330 $ per year/ per Student ( Three Terms ) [/FONT] [FONT=arial,helvetica]
[/FONT] [FONT=arial,helvetica] Refundable Text Book Deposit - A-Level STUDENTS ONLY [/FONT] [FONT=arial,helvetica] USD 300$ Secondary School Only [/FONT] [FONT=arial,helvetica] Refundable - School Deposit [/FONT] [FONT=arial,helvetica] A . Boarding Student - $ 300/- per student [/FONT] [FONT=arial,helvetica] B . Day Student - $ 150/- per student [/FONT] [FONT=arial,helvetica]
[/FONT] [FONT=arial,helvetica] BANK DETAIL [/FONT] [FONT=arial,helvetica] STANBIC BANK - ARUSHA BRANCH
HELLENIC SOCIETY OF TANGANYIKA
ST. CONSTANTINE'S INTERNATIONAL SCHOOL
A/C NO. - 0240007688301
[/FONT] [FONT=arial,helvetica] Contact Details [/FONT] [FONT=arial,helvetica] Phone Number 2503696
Fax Number 2508581
email address scis@habari.co.tz
[/FONT]
 
Back
Top Bottom