mchambakwao
Member
- Dec 9, 2011
- 77
- 14
Wakuu heshima kwenu!
Huku mtaani kwetu watu wanajiuliza baada ya CC ya CCM kuridhia na kusukwa upya baraza la mawaziri.
Je,PM Mizengo Pinda atarudishwa na akirudishwa wananchi tutafsiri vipi ilihali ameshindwa kuwasimamia mawaziri waliofuja mali ya umma?
Nawasilisha.
Huku mtaani kwetu watu wanajiuliza baada ya CC ya CCM kuridhia na kusukwa upya baraza la mawaziri.
Je,PM Mizengo Pinda atarudishwa na akirudishwa wananchi tutafsiri vipi ilihali ameshindwa kuwasimamia mawaziri waliofuja mali ya umma?
Nawasilisha.