Mtoto wa mkulima atarudi kwenye baraza jipya tarajiwa?

Tabu ni pale unapolaumu kile usichokijua. Pinda hana tatizo lolote tena ni mchapa kazi kwelikweli, lakini yuko chini ya mtu ambaye ndiye final say kwa lolote. Kikatiba na Kisheria PM hana madaraka ya kumsimamisha kazi au kumfukuza waziri yeyote, bali kutoa ushauri kwa final say (Rais). Final say akikataa ushauri PM hana la kufanya zaidi ya hapo.

hamna mtu mbabaishaji kama Pinda kiufupi viatu vya Uwaziri Mkuu ni vikubwa sana kwa Pinda, vimempwaya na mpaka sasa hajui dhamana ya kile cheo! Neeeeeext! Labda tumjaribu mama Tibaijuka mwanamke wa kwanza Uwaziri Mkuu!
 
Baraza la mawaziri linapovunjwa,ina maana hakuna serikali automaticallly even the PM goes.Ila kamani kusuka upya au kufanya mabadiliko,then PM bado anazidi kula nchi.
 
Hizi ndizo athari za kutokujua sheria na katiba, Pinda atawawajibisha mawaziri walioteuliwa na rais kwa kutumia kifungu kipi cha katiba? au kwa sheria gani?

Ni sheria na Katiba ipi unayoizungumzia? Au ile yenye Ibara isemayo.."Rais wa JMT iwapo ataridhiwa na Kamati Kuu ya CCM anaweza kulisuka Baraza la mawaziri...." yatosha tukubali tu mkuu kuwa Pinda is 'dubious' pm ever seen in ths world!
 
Msitegemee jipya toka kwa msanii...msanii siku zote atakuwa ni msanii tu.
 
Hizi ndizo athari za kutokujua sheria na katiba, Pinda atawawajibisha mawaziri walioteuliwa na rais kwa kutumia kifungu kipi cha katiba? au kwa sheria gani?

tukitaka WM aweze kuwawajibisha mawaziri tuweke kifungu cha aina hiyo kwenye katiba mpya
 
Kwa CCM ya sasa hata kama PM angekuwa mama Nyerere,madudu yatakuwa palepale,tatizo liko kwenye mfumo mzima umefikia expire date yake,kwani alipotolewa Mamvi nini kimebadilika?si hali imekuwa mbaya zaidi.Ni kama kuchukua dawa zilizoisha muda wake na kuziweka kwenye kopo jipya,haizifanyi dawa hizo kuwa mpya.
wamalizie tu nye tuweke vipya
 
Time will tell..
9k=
 
Back
Top Bottom