Rev basi tu sababu mwalimu anataka mtoto akariri... but logically huyo mtoto kapata maswali.. Nimeipenda ya digestive system inaonesha dogo hygiene haimpigi chenga...lol
Asha D huyu mwalimu ilibidi awe anafanya reasoning kwanza huyu dogo wa kupeleka UNI moja kwa moja:dance::dance:Rev basi tu sababu mwalimu anataka mtoto akariri... but logically huyo mtoto kapata maswali.. Nimeipenda ya digestive system inaonesha dogo hygiene haimpigi chenga...lol
Wakulaumiwa ni mama hapa kwa kweli!
Asha D huyu mwalimu ilibidi awe anafanya reasoning kwanza huyu dogo wa kupeleka UNI moja kwa moja:dance::dance:
Huyo mtoto kama ameweza kunakili vizuri maswali bila kukosea na kutoa majibu kama hayo, hujapoteza hela yako. Ana akili sana.
1. ameona maswali yanayoulizwa yako chini ya uelewa wake. Alitegemea maswali yenye akili zaidi.
2. maswali yenyewe hayana faida yoyote kwake. ni kwa ajili ya wale wanaokariri. sio kutatua matatizo ya jamii.
Wakulaumiwa ni mama hapa kwa kweli!