Mtoto wa mama wa kambo ananitega

Mtoto wa mama wa kambo ananitega

kumkanya na kua serius naweza,ila reaction yake baada ya hapo ndo naihofia

wewe bado ni mtoto (kula kulala) halafu unataka kunyea kambi. Huyo ni dada yako mkanye kistaarabu tu atakuelewa mwite mweleze kuwa huwezi fanya hicho kitu kwa kuwa yeye ni dada yako mna undugu nyie kwa kuwa wadogo zako waliozaliwa na baba yako pamoja na huyo mama wanawaunganisha damu kitaalam kuna vinasaba vya mama yake kwa wadogo zako wa baba mmoja.

Ukitembea nae utamkosea adabu baba yako, mama yako, mama yako mdogo wadogo zako na familia yako yote. Huyo binti wala hatalaumiwa maana wanawake wakivunja ungo uwa wanakuwa na mihemko ambayo inawafanya wasahau hata undugu mlio nao.

Ongea nae mweleze ikishindikana mueleze mzee yoyote jirani au mama yoyote nje ya kwenu anaweza kumwita na kumuelekeza
 
Usiwe na akili kama za mwanaccm, mkanye huyo binti mwambie wewe ni kaka yake na aelewe hivyo. Siyo ukifika unaongea nae huku unaerumbua kama mwimba taarabu wa TOT. Fanya maamuzi magumu, mwambie ashindwe kwa jina la Allah!
 
hapahata ukimkanya huyo sijui mdog wako kazi buremaana wote ni majanga....wekama vp si umle basiuje na story part 2
 
Aisee ningekuwa Mimi ningekuwa nishamtafuna sikunyingi sana
 
Usimguse, akikuzulia soo mruke futi mia. Tena utamsokomezea soo kabisa kuwa alikutaka ukamkataa akaahidi kukuzushia soo,
Kaa mbali nae mana hatokawia kukuzushia umembaka mkibaki wawili,

thank you atleast wewe umenielewa consequence zitakazotokea mimi nikimkazia sasa iv..
 
kwanza, shule za kata hamna handsome.

pili, we kama kaka mdogo wako anapata wapi ujasiri wakufanya upuuzi kama huo? hii inaonyesha wewe ni kaka kilaza

tatu, inaonyesha ushachukua maamuzi nainawezekana ushambandika huyu mdogo wako kutokana na hali hii binafsi sina ushauri wakukushauri.

nne, kama hili ni tangazo la u handsome wako, je? umelilipia

dah kuongea mimi handsome naona imekuuma sana eeehh,poor you
 
Reaction ya wazazi wenu wakijua mnakulana hauiogopi??..Vipi mkitiana mimba..reaction yake hauiogopi??..Vipi wananzengo wakijua unamla mdogo wako..reaction yao huiogopi??..Vipi ukishamla zen ukataka kumuacha(coz hauna future nae) wakati ye ameshakolea..reaction yake huiogopi???....Acha upimbi mkuu

hivi nyie watu mnakua mnasoma kabla ya kucomment au mnakurupuka tu??hivi unawajua wanawake wewe?sasa iv nianze from nowhere kumkazia na kua serious we unafkiri atatulia tu ukiangalia kajifanya kapenda?si anaweza akazua lolote?na ndo maana nimekuja hapa sio kama nataka kumla sababu siwezi ila nitumie njia gani nzuri ili nimpunguze spidi zake
 
Kaka hendiasamu umesema shuleni ulifanya vizuri na kushangaza walimu?!
hakika na mie umenishangaza

hehe unajiona master na great thinker hapo,naskia juzi magufuli alisema saddam hussein alikua raisi wa kuwait.
 
yaani humu watu wapo kama vilaza,mnaitumia jf kama mazoea tu wala sio inavotakiwa,lijitu hasomi anarukia kucomment utumbo.

post nzima mmoja tu ndo kanielewa ninachoongoe,wengine wote mnacomment kwa hisia zenu na wala sio uhalisia wa hicho kisa hapo juu
 
wala kila mtu kwao ila sasa iv naishi home mpaka chuo kifunguliwe dada angu
pole dogo kumbe bado unasoma
tengeza mazingira ya kutokuzoeleka next time
HAPO USHAHARIBU ULIMRAHSISHIA AKUZOEE
 
Back
Top Bottom