Mtoto wa mama wa kambo ananitega

Mtoto wa mama wa kambo ananitega

kwanza, shule za kata hamna handsome.

pili, we kama kaka mdogo wako anapata wapi ujasiri wakufanya upuuzi kama huo? hii inaonyesha wewe ni kaka kilaza

tatu, inaonyesha ushachukua maamuzi nainawezekana ushambandika huyu mdogo wako kutokana na hali hii binafsi sina ushauri wakukushauri.

nne, kama hili ni tangazo la u handsome wako, je? umelilipia
 
Aisee kuna watu mnachezeaga bahati mfyetue tu kabla hajabadili mawazo hazirudigi hizo
 
Uyo ni mdogo wako tu ata kama amjazaliwa tumbo moja,act kama kaka muite na umkanye io tabia eti unaogopa ata fichua siri zako ila hauogopi itakuaje pale utakapozini na dada yako io no dhambi kubwa sana,usijaribu kufanya ivo
 
kumkanya na kua serius naweza,ila reaction yake baada ya hapo ndo naihofia

Reaction ya wazazi wenu wakijua mnakulana hauiogopi??..Vipi mkitiana mimba..reaction yake hauiogopi??..Vipi wananzengo wakijua unamla mdogo wako..reaction yao huiogopi??..Vipi ukishamla zen ukataka kumuacha(coz hauna future nae) wakati ye ameshakolea..reaction yake huiogopi???....Acha upimbi mkuu
 
ubuntuX tumia style ya Gwajima, mrekodi akiwa anakutongoza, na hayo mashairi usingeyachana, baada ya kuwa na vielelezo kwamba ni yeye anakutongoza mkanye na mtishie kuvipeleka vielelzo hivyo kwa wazazi.

Hapo itakuwa suluhu, siri zako hatazisema as long as una ushahidi wa yeye kukutongoza.

Acha kufanyia umalaya nyumbani, unashusha heshima kwa wadogo zako, ndo maana unaanza kutongozwa na wadogo zako hao.
 
Duuu majanga muweke chini mueleze kijana huo umri hata ww ulipita kijana ni wanaitaga foolish age ww siulipita ukawa kitombi huko shule sasa kitu gan kinachokufanya usijue mdogo wako yuko katika foolish age na imekuwa vizuri amejidhihirisha kwako kaaa nae mpe. Nasaha, ushauri, mkanye, ataelewa tuu usije jaribu kumla huyu ndugu yako na wameshare udugu na wadogo tako upande wa baba ako
 
kwanza, shule za kata hamna handsome.

pili, we kama kaka mdogo wako anapata wapi ujasiri wakufanya upuuzi kama huo? hii inaonyesha wewe ni kaka kilaza

tatu, inaonyesha ushachukua maamuzi nainawezekana ushambandika huyu mdogo wako kutokana na hali hii binafsi sina ushauri wakukushauri.

nne, kama hili ni tangazo la u handsome wako, je? umelilipia

Teh teh..Shule ya kata hakuna handsome lol
 
My dear vijana wa siku hizi kazi sana...hasa pale pepo la ngono linapokuwa limeshawaingia....

Kaka mtu anashindwa kumwita na kumkanya mdogo wake???? Kisa ana siri zake??? Puliz..siri kitu gani....

Akiwa serious dogo ataacha maana huyo binti ni balehe tu inamsumbua

Watoto wanapeana hadithi za kitoto...

Kazi ipo....
 
Psychologically, tone ya hii post ina-suggest jamaa kashampitia mdogo wake au ana nia ya dhati kabisa ya kumpitia, so hapa anatafuta kama baraka tu ili kupunguza hatia. Well, technically huyo si mdogo wako na unaweza kupita tu. Ethically and religiously, you're doomed mah man.
 
Tunza hiyo barua na kama kuna ushahidi kama meseji za simu n.k usizifute pia. Muite uzungumze nae kwa kirefu umueleweshe kuwa unampenda lakini kama dada na si mpenzi, anachojisikia sicho unachojisikia wewe. Akikushitaki au kukuzulia kitu, barua na ushahidi mwingine utakuokoa.
 
Ni ndugu yako huyo for ***sake
I hope umeangalia madhara kama kumpiga mimba;kugundulika na n.k utaitia aibu familia eboo
 
Back
Top Bottom