KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,511
Yawezekana alipiga mbizi kutoka St. Mathew Secondary School akiwa na Four yake akaibukia UDOM kusoma Degrii!Tatizo watatakiwa kujibu swali gumu. Kama alimaliza six iweje adailiwe kupitia NACTE
Yawezekana alipiga mbizi kutoka St. Mathew Secondary School akiwa na Four yake akaibukia UDOM kusoma Degrii!Tatizo watatakiwa kujibu swali gumu. Kama alimaliza six iweje adailiwe kupitia NACTE
Including the princess jesca.jibu gani sasa we kilaza kauli ya rais ni last jo kama ni moja wa vilaza tafuta namna ingine
Naomba hilo jibu,mimi sijalisikia.jibu gani sasa we kilaza kauli ya rais ni last jo kama ni moja wa vilaza tafuta namna ingine
Nakubaliana na wewe mkuu ni kweli alikua na sifa ya ziada nayo ni kua BABA YAKE ALIKUA WAZIRI SERIKALINI.hii sifa wengi hawana.Atakuwa aliingia kwa EQUIVALENT QUALIFICATIONS, Maana Direct Entry Applicants hawa Apply Kupitia NACTE,huwa wana pitia TCU, wale wa equivalents huwa ndiyo wanapitia NACTE,so yawezekana alikuwa na sifa za ziada
Watoto wangapi wana ipods?Kaka yangu mpendwa,sijaona kwanini vijana wa sasa hivi mnaogopa MAJIBU yenu yakiwa kwenye board.Nina uhakika wanafunzi walikuwa wanasoma kwa bidii kuogopa kusakamwa uraiani.Na ninauhakika wa asilimia 100 sababu ni mmoja wa candidates wa kidato cha nne na kidato cha sita kuwekwa live kwenye board za shule na wizarani.
Simsemi JESCA au MWANAASHA bali tunahitaji wanafunzi wajipange,majibu tuyaone ili wanafunzi waache Ipod nyumbani waende shule kusoma.
That's right, hakuwahi kutumia lugha za shimoni Kariakoo kwenye mimbari za Ikulu. Mwalimu and the whole generation of his proteges in that era. Ndio ukapata wa kina Mwinyi. Benjamin Mkapa anatoka kwenye generation hiyo lakini alimshtua kila mtu, Mwalimu alipokufa tu akawa loose canon! Ndio anatukana kwenye majukwaa mpaka leo. Kikwete alichunga sana mdomo wake, japo ni mswahili asiyepitwa.ndiyo sababu Mwalimu bado anapendwa sana na kuheshimiwa
Watoto wangapi wana ipods?
Tatizo la gadgets mashuleni, jamani watoto wa Tanzania wanaenda shule na njaa, hawana ada, miguu peku, hawana vitabu, we unaongelea ipods? Ndio maana mimi siwadhihaki waliofeli kwa sababu si wote wamefeli for luck of effort. Hamjui mazingira wanayosomea, hamjui kwa nini wamefeli. Kuwadhalilisha kwa kuwabandika ukutani haisadii, at least nobody knows it does.
There's not a single study that showed performance is stronger when results are exposed and poor students lampooned, that's just a blue sky assumption. Kubandika matokeo yao kwenye ma pages ya internet is the worst violation of academic privacy.
That's right, hakuwahi kutumia lugha za shimoni Kariakoo kwenye mimbari za Ikulu. Mwalimu and the whole generation of his proteges in that era. Ndio ukapata wa kina Mwinyi. Benjamin Mkapa anatoka kwenye generation hiyo lakini alimshtua kila mtu, Mwalimu alipokufa tu akawa loose canon! Ndio anatukana kwenye majukwaa mpaka leo. Kikwete alichunga sana mdomo wake, japo ni mswahili asiyepitwa.
Magufuli anatoka kwenye generation ya leo ya wanaotukanana bungeni, huwezi kumbadilisha. Anatukana mpaka mwanae.
Watoto wangapi wana ipods?
Tatizo la gadgets mashuleni, jamani watoto wa Tanzania wanaenda shule na njaa, hawana ada, miguu peku, hawana vitabu, we unaongelea ipods? Ndio maana mimi siwadhihaki waliofeli kwa sababu si wote wamefeli for luck of effort. Hamjui mazingira wanayosomea, hamjui kwa nini wamefeli. Kuwadhalilisha kwa kuwabandika ukutani haisadii, at least nobody knows it does.
There's not a single study that showed performance is stronger when results are exposed and poor students lampooned, that's just a blue sky assumption. Kubandika matokeo yao kwenye ma pages ya internet is the worst violation of academic privacy.
That's right, hakuwahi kutumia lugha za shimoni Kariakoo kwenye mimbari za Ikulu. Mwalimu and the whole generation of his proteges in that era. Ndio ukapata wa kina Mwinyi. Benjamin Mkapa anatoka kwenye generation hiyo lakini alimshtua kila mtu, Mwalimu alipokufa tu akawa loose canon! Ndio anatukana kwenye majukwaa mpaka leo. Kikwete alichunga sana mdomo wake, japo ni mswahili asiyepitwa.
Magufuli anatoka kwenye generation ya leo ya wanaotukanana bungeni, huwezi kumbadilisha. Anatukana mpaka mwanae.
Baba jesicaAnheuser bila kuweka majina hadharani usahau watoto wetu kufanya vizuri.
Kwa Rais wetu bwana alimdhalilisha hadi mkewe,hivi kwa mwanaume wa kawaida utaongeaje hadharani mbele ya wageni wako na watoto wako eti Hawa wahisani wananifanya nisiweze kumgeuza geuza mke wangu.Niliishangaa sentensi hii
yupo nasikia uko Arusha katimua wengine.Hivi ndalichako yupooo
Kwa jesika ataenda lini kumtimua udomyupo nasikia uko Arusha katimua wengine.
awezi kumtimua wala kuliongeleaKwa jesika ataenda lini kumtimua udom
Tunae mpaka tupate majibu.Hee, kumbe Jesica bado mnaye? Ni wazi hili halina majibu!
Ila mbona kama hii serikali imekuwa ya kinyamanyama? Huko mitaani kila mtu anasema Magufuli ameharibu, na hawa ni watu wadogo kabisa km wachuuxi, machinga na msma ntilie n.k.wnalalama maisha magumu pesa haionekani!yupo nasikia uko Arusha katimua wengine.
wacha waisome namba.Ila mbona kama hii serikali imekuwa ya kinyamanyama? Huko mitaani kila mtu anasema Magufuli ameharibu, na hawa ni watu wadogo kabisa km wachuuxi, machinga na msma ntilie n.k.wnalalama maisha magumu pesa haionekani!