Mtoto wa Magufuli sijui alifikaje Chuo Kikuu?

Status
Not open for further replies.
Wakati wanapitia sifa za wanafunzi, network ilikuwa bize, ika sikp jina la Jesca, nikawaida mitandao yetu hii unaambiwa 4G, kumbe ni 2G. Litashughulikiwa tuache jaziba
 
Anaweza pia mtu akasoma professional course (certificate) mwaka mmoja then akasoma foundation course mwaka mmoja baada ya hapo anaruhusiwa kuomba shahada ya kwanza chuo kikuu.
Inawezekana hata huyu akawa kapitia mfumo huu, na ni mfumo uliopo na unatumika na TCU na NACTE
 
Kimahesabu kama alijiunga na kidato cha tano shule binafsi huku akiwa anarisiti mtihani wa kidato cha nne hiyo inawezekana kabisa!! Labda tutafute matokeo yake ya kidato cha sita.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Kidato cha sita asingedahiliwa na NACTE angedahiliwa na TCU
 
Anaweza pia mtu akasoma professional course (certificate) mwaka mmoja then akasoma foundation course mwaka mmoja baada ya hapo anaruhusiwa kuomba shahada ya kwanza chuo kikuu.
Inawezekana hata huyu akawa kapitia mfumo huu, na ni mfumo uliopo na unatumika na TCU na NACTE
Naomba ufafanuzi kuhusu huu mfumo, na ni kwanini basi wanafunzi wasi opt njia hii kuliko kuzunguka certificate, diploma then degree
 
Anaweza pia mtu akasoma professional course (certificate) mwaka mmoja then akasoma foundation course mwaka mmoja baada ya hapo anaruhusiwa kuomba shahada ya kwanza chuo kikuu.
Inawezekana hata huyu akawa kapitia mfumo huu, na ni mfumo uliopo na unatumika na TCU na NACTE
ila haimuondolei ukilaza maana ana viddd
 
Mwalimu Nyerere alisema "mtu kusema mambo yanayofanyika na kuendelea nchini lazima huwe na kichwa cha mwendawazimu" haya mambo yalikuwepo mda atukupata mtu jasili anayependa nchi yake na aliyejitolea hata kufa kwa ajili ya nchi yake. Magufuli kaza buti hii inchi watu wachache ni ndumila kuwili wengi tuko nyuma yako
 
Mkuu unamjuaje mwanafunzi ana uwezo wa astashahada, yaani kabisa mwanafunzi aliyepata div 4 ya 30 asome diploma
Anasoma vizuri na kufaulu. Huu usomji wa muhula na kufanya mtihani kisha unakusanya wastani wa pointi. Anaweka hata kutoka na daraja la kwanza la chini hata juu.
 
Mwalimu Nyerere alisema "mtu kusema mambo yanayofanyika na kuendelea nchini lazima huwe na kichwa cha mwendawazimu" haya mambo yalikuwepo mda atukupata mtu jasili anayependa nchi yake na aliyejitolea hata kufa kwa ajili ya nchi yake. Magufuli kaza buti hii inchi watu wachache ni ndumila kuwili wengi tuko nyuma yako
Unaelewa mada iliopo mezani! Au ndio mahaba niuwe?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom