Wazazi wake(Mawalla Snr) waligoma kwenda kumzikia Nairobi kama wosia wake ulivyosema.Aliwekeza sana kwenye aridhi, inasemekana alikuwa amenunua aridhi south, na alikuwa na mgogoro kesi iko mahakamani na alikuwa ukingoni ashinde, wambea wanasema walivyojua yupo hospital, wakafanya yao. Mlinzi wake wakati anaingia chumbani alikuta hayupo. Ndo kuskia kelele kuwa kajirusha.kutoka gorofa ya tatu.
Alivyokuwa mayai sana hata angetoka gorofa ya kwanza angekufa. Alikuwa mayai mpaka chupa ya Maji anafunguliwaile team yake alokuwa akitembea nayo kila mtu alikuwa na kazi yake in short aliishe maisha mafupi lakini mazuri sana. tulimuenjoy sana ni kucheka mwanzo mwisho. Ila alikuwa genius balaa.
Wosia wake ndio uliniacha hoi.mahali atakapo zikwa. Wachaga walibaki mdomo wazi ilibidi wasafiri kumzika huko Kenya, tena kwenye makaburi ya nzengo. Achilia mbali mipesa yote alikuwa nayo. Rip mawala.
Kweli umenikumbusha walienda ndugu wachache, wengi walienda marafiki na wafanyakazi wake na wanafunzi wake.Wazazi wake(Mawalla Snr) waligoma kwenda kumzikia Nairobi kama wosia wake ulivyosema.
Na bahati mbaya Mzee wake nae alishavuta sijui kama hata alikuja ku-reconcile au mpk mwisho alisusa.Kweli umenikumbusha walienda ndugu wachache, wengi walienda marafiki na wafanyakazi wake na wanafunzi wake.
Hata mm niliskia hivyo hiyo ya brela ilivuma sana.Na bahati mbaya Mzee wake nae alishavuta sijui kama hata alikuja ku-reconcile au mpk mwisho alisusa.
Kuna mshkaji/mfanyakazi wake alikua anaitwa Remmy sijui yuko wapi siku hizi?
Nyaga aliishi maisha yake to the fullest,kuna mtu humu jf alisema Nyaga na Sambeke wote money laundering ndio iliwamaliza though am not sure.
Dingi ake alikua analalamika sana mienendo ya Nyaga/madeal yake anayofanya(alishawauziaga mpk Brela software feki kwa 800mil,hahah) alikua vzr kwny hesabu za pesa.
wote wale hakuna aliebaki salama, aliwavua zile suti balaa. Yaani ilikuwa mdada ukienda ofisini kama uko vizuri wakikuona wanagongana maskini wanakua wapole balaa yaani wanaona bosi anaondoka huyu, haahaaaa! kuna dada mmoja alikuwa na mchumba kabisa kijana wa Benki moja maarufu jijini Arusha, dada akakutana na Mawalla akamkataa mchumba akajiona kaopoa tajiri, yaliyojiri yalifurahisha.........aliachwa kurudi jamaa nae avuta mwingine fasta, alibaki mkiwa.Ahaaa kumbe ile team alokuwa akitembea nayo sio bure😁 kuna wa kumshikia notebook, kuna wa kumfungulia Maji, kuna wa kuotoka kalamu ikidondoka😀 kuna wa kumshikia koti😁 kuna wa kumfungulia mlango.etc hao wote anasafiri nao, wakifika wanaketi bench ya nyuma na vi suti vyao kama wahudumu wa hotel,😁😁na michuchumio yao.😂yaan kidada kikitoka kule nyuma kuja mbele kumfungulia Maji,😁 ni full attention😂😂hatupumui😀
sehemu ni mali ya mzee sio ya kukodisha, labda wangemnyang'anya kabisa sio kuzuia sherehe.Angekuwa bado upande wa pili kama enzi zile, wazee wa ntimanyongo wange mwambia sehemu hii ya sherehe imechukuliwa kwa shughuli maalumu kwa awamu hii nzima.
Anyway kimfaacho mtu ndio chake.
Hata ya Miraj piaKweli bana
Reception ya Ridh 1 tuliipiga kwny Viwanja vya Ikulu na Mdundiko na Mdumange tukausakatia pale kwny Bustan
Zama hazirudi bana,
Yule ndugu yako Chalinze aliyeoa Moro yupoo?Kweli bana
Reception ya Ridh 1 tuliipiga kwny Viwanja vya Ikulu na Mdundiko na Mdumange tukausakatia pale kwny Bustan
Zama hazirudi bana,
Teh kwani kuoa ndio kunazuia kuwachapa ?Daah wale mademu wa pale East Africa Hotel kwa sasa(Gold crest) watakua wanasikitika kichizi kumuona mwana ameoa.
Kwa wakati ule sisi tulikuwa wadogo kiasi ila jinsi alivyokuwa Dada zetu kumkataa inabidi uwe na moyo wa chuma unless uwe ushaskia taarifa zake.😀😀😀😀 kuna wenzetu walianza kujigonga kwake dah .tunawazoom, mm nilichokuwa navutiwa kwake ni uwezo wake wa kujua mambo mengi real life, ana exposure vitu vingine, anakufundisha mbinu za kutafuta hela etc. Otherwise nilimuona kama wanaume wengine wanaojitbua.wote wale hakuna aliebaki salama, aliwavua zile suti balaa. Yaani ilikuwa mdada ukienda ofisini kama uko vizuri wakikuona wanagongana maskini wanakua wapole balaa yaani wanaona bosi anaondoka huyu, haahaaaa! kuna dada mmoja alikuwa na mchumba kabisa kijana wa Benki moja maarufu jijini Arusha, dada akakutana na Mawalla akamkataa mchumba akajiona kaopoa tajiri, yaliyojiri yalifurahisha.........aliachwa kurudi jamaa nae avuta mwingine fasta, alibaki mkiwa.
Aisee jamaa ana makoloni ya kutosha? 😂😂😂😂Daah wale mademu wa pale East Africa Hotel kwa sasa(Gold crest) watakua wanasikitika kichizi kumuona mwana ameoa.
Mbowe hana mda na wanassm hio mnatakiwa mhuzulie wenyewe.Mbowe ni kwa nini hakuhudhuria??
HawaongeiMzee Kikwete amekosekana
Muhudhuriemhuzulie