joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,037
Habari wana JF.
Je kusherekea siku ya kuzaliwa ni kosa?
Nakumbuka nikiwa na umri wa miaka 9 niliwahi kumwambia mshua(Father) kuhusu kusherekea siku ya kuzaliwa nilichokumbana nacho sitokisahau maisha yangu.
Kwanza nilikupokea kipigo cha hatari sana na kunyimwa msosi siku hiyo akiniambia kufanya visherehe sherehe vya kipumbavu ni mambo ya kike/wanawake na siyo vizuri mtoto wa kiume/ mwanaume kufanya sherehe ya kuzaliwa na zinginezo.
Nikiwa naendelea kupata kipigo aliendelea kuniambia haya "mwanaume inabidi unakuwa na fikira kama mwanaume mfano utapataje hela ununue kiwanja ujenge au uwe tajiri mkubwa wewe unaanza kuleta upumbavu"
Hivyo basi, alinifundisha tabia ambayo nikimuona mwanaume anasherekea siku ya kuzaliwa huwa namfikiria kivingine kabisa na kumchukulia kama hajakamilika kama mwanaume.
Je ni nipo sahihi wadau au kuna sehemu nakosea?
Je kusherekea siku ya kuzaliwa ni kosa?
Nakumbuka nikiwa na umri wa miaka 9 niliwahi kumwambia mshua(Father) kuhusu kusherekea siku ya kuzaliwa nilichokumbana nacho sitokisahau maisha yangu.
Kwanza nilikupokea kipigo cha hatari sana na kunyimwa msosi siku hiyo akiniambia kufanya visherehe sherehe vya kipumbavu ni mambo ya kike/wanawake na siyo vizuri mtoto wa kiume/ mwanaume kufanya sherehe ya kuzaliwa na zinginezo.
Nikiwa naendelea kupata kipigo aliendelea kuniambia haya "mwanaume inabidi unakuwa na fikira kama mwanaume mfano utapataje hela ununue kiwanja ujenge au uwe tajiri mkubwa wewe unaanza kuleta upumbavu"
Hivyo basi, alinifundisha tabia ambayo nikimuona mwanaume anasherekea siku ya kuzaliwa huwa namfikiria kivingine kabisa na kumchukulia kama hajakamilika kama mwanaume.
Je ni nipo sahihi wadau au kuna sehemu nakosea?