Mtoto wa kihindi jaman njia panda!

Mtoto wa kihindi jaman njia panda!

Baada ya kuaso kutafuta kaz hapa town atmaye nkapata kwenye campuny moja ya shipping, day 2 wakat wa introduction kwa stuffs ambayo ina watoto wengi wa kihind. Baada ya mwezi kuna kabint ka kihind kaakanza kuja less full shobo ila kako vizuri sura nywele mpaka kwenye makalio ila ndo kamepigwa pas kako FLAT. Majuz wakat 2po lunch akanfuata nakuniambia kwamba anata nmgegede azae na mm eti siku nyingi alikua anatafuta black kama mm so moyo wake umedondokea kwangu.bos wangu wa kidos kumbe alishais k2 mm na uyu dogo sasa leo boss kaniiita kaniambia nchague niachane na huyu binti niendelee na kazi au aterminate mkataba wangu anipe mil 3 niache kazi.na mm nlitaka nilambe sukari ya huyu kuch kuch ingawa wanasemaga kwenye papuch zao kama kuna barafu
Wakuu nipo dilema cjui nchukue mil 3 nsepe bila kuramba sukari? au niendelee na kazi uku nkila kwa macho?


Mkuu Kyooma, naona umekosea hii script kwani ilibidi uipeleke kwa Ze Comedy waifanyie kazi hapa si pake. Kuwa kidogo na jaribu kuachana na mambo ya kimbea wewe ni mtoto wa kiume. Huyo binti kakujia wewe na sie sisi ya nini umtolee siri zake kama ni kweli aliyokutamkia?
 
Baada ya kuaso kutafuta kaz hapa town atmaye nkapata kwenye campuny moja ya shipping, day 2 wakat wa introduction kwa stuffs ambayo ina watoto wengi wa kihind. Baada ya mwezi kuna kabint ka kihind kaakanza kuja less full shobo ila kako vizuri sura nywele mpaka kwenye makalio ila ndo kamepigwa pas kako FLAT. Majuz wakat 2po lunch akanfuata nakuniambia kwamba anata nmgegede azae na mm eti siku nyingi alikua anatafuta black kama mm so moyo wake umedondokea kwangu.bos wangu wa kidos kumbe alishais k2 mm na uyu dogo sasa leo boss kaniiita kaniambia nchague niachane na huyu binti niendelee na kazi au aterminate mkataba wangu anipe mil 3 niache kazi.na mm nlitaka nilambe sukari ya huyu kuch kuch ingawa wanasemaga kwenye papuch zao kama kuna barafu
Wakuu nipo dilema cjui nchukue mil 3 nsepe bila kuramba sukari? au niendelee na kazi uku nkila kwa macho?

Nenda kwa shigongo akupe mbinu za kuiboresha hii story...imekaa kimauzo mauzo kidogo
 
Mkuu Kyooma, naona umekosea hii script kwani ilibidi uipeleke kwa Ze Comedy waifanyie kazi hapa si pake. Kuwa kidogo na jaribu kuachana na mambo ya kimbea wewe ni mtoto wa kiume. Huyo binti kakujia wewe na sie sisi ya nini umtolee siri zake kama ni kweli aliyokutamkia?
mkuu umbea uko wap au anakalil neno umbea? mbona unaleta mambo ya kishanging shanging??? aya ndo matatizo wa shule za kayumba
 
mkuu umbea uko wap au anakalil neno umbea? mbona unaleta mambo ya kishanging shanging??? aya ndo matatizo wa shule za kayumba

Kwani hujuwi umbea ni nini? Hayo maneno unayosema kuwa huyo demu kakuambia wewe, ni yako wewe na yeye ya nini uje hapa kuyaongelea? Kama huyo demu alikuwa anataka kila mtu ajuwe nafikiri angetumia busara ya kuja hapa kujitangaza ama kwenda redioni kutoa tangazo, au sivyo? Basi kama ulikuwa hujuwi, huo ndio umbea, jirudi kidogo.
 
mkuu umbea uko wap au anakalil neno umbea? mbona unaleta mambo ya kishanging shanging??? aya ndo matatizo wa shule za kayumba

shule za kayumba zimefanya nn, yani uandike upuuzi alafu utake watu wakoment positive kwa lazima, eti anakuja less sasa less ulimaanisha ilo neno au ulijikurupusha tu na kuleta thread ya kishigongo hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom