Mtoto wa Charles Kimei afunga ndoa Jijini Dar. Kweli mjini pesa shikamoo kelele

Bila shaka hujapata kumfahamu Kasie.
Wakati niko mschana miaka hiyoo ndo nimemaliza chuo, kuna kijana mmoja wa kichaga alinipenda sana (rejea uzi wa kwa nini wanaume wa kanda ya kaskazini wamekuwa sehemu kubwa ya mahusiano yangu). Huyu alikuwa mtafutaji mnoo aliijua hela tangu yuko chuo, hakutokea kwenye familia yenye hela ila alizitengeneza hela zake mwenyewe. Alikuwa na nyumba tayari, usafiri ndo alikuwa ameagiza, alinitambulisha hadi kwa mama yake mzazi na alikuwa anataka kunioa. Tangu siku ya kwanza aliniambia anataka mahusiano ya uchumba na si ugelofrendi na uboifrendi, ila sikumpenda na nikasema nikikubali kuolewa nae ntam chiti na ndoa haitakuwa na amani. Siku namwambia mimi siwezi kuwa na wewe,alilia hadi kamasi zikamtoka ila hata sikuwa na huruma sababu sikuwaza maumivu yake ya wakati huo, niliwaza ya baadae. Na aliumia sana maana nilikuwa nahimili mishindo yake.....

With Kasie, It's not about wachaga it's not about money...

It's about soul, passion and love...

It's all about Dadii as he is the package I treasure.

Mmmuuuahh to Dadiii.

Matata K.
Kumbe ndo wewe

Nlkua nahisi hisi

Asante sana , bora uliondoka
 
Hongereni wachaga kwa kuikuza bank ya CRDB. Ulitaka aajiri wacheza mdundiko? Unapotaka kufanikiwa unatafuta like mind people. Kuna kipindi enzi za kusaka kazi kuna kampuni ya kimataifa ilikuwa inaajiri. Ilipofika nchini iliingia na philosofia ya kuajiri watu wa kaskazini kwa kuwa waliambiwa toka kwao kuwa hiyo kanda ndiyo chapakazi. I tell you zile challenging positions zote walipewa wachagga wakapiga kazi mpaka wengine walipelekwa branches za nchi nyingine. Hata walipokuwa wameshikilia maeneo kama TRA mambo yalikuwa safi. Wanaitafuta pesa wanakula na kuhakikisha kuwa wanaendeleza taasisi. Si kama wenzangu na mimi akipata nafasi ni kula tu na kuongeza nyumba ndogo mwishowe kampuni au shirika linakufa. Angalia pensheni funds. Hivi kwrli kila mwezi unapokea michango ya mabilioni halafu unafilisika unashindwa hata kulipa mafao? Stupid
 
Bila shaka hujapata kumfahamu Kasie.
Wakati niko mschana miaka hiyoo ndo nimemaliza chuo, kuna kijana mmoja wa kichaga alinipenda sana (rejea uzi wa kwa nini wanaume wa kanda ya kaskazini wamekuwa sehemu kubwa ya mahusiano yangu). Huyu alikuwa mtafutaji mnoo aliijua hela tangu yuko chuo, hakutokea kwenye familia yenye hela ila alizitengeneza hela zake mwenyewe. Alikuwa na nyumba tayari, usafiri ndo alikuwa ameagiza, alinitambulisha hadi kwa mama yake mzazi na alikuwa anataka kunioa. Tangu siku ya kwanza aliniambia anataka mahusiano ya uchumba na si ugelofrendi na uboifrendi, ila sikumpenda na nikasema nikikubali kuolewa nae ntam chiti na ndoa haitakuwa na amani. Siku namwambia mimi siwezi kuwa na wewe,alilia hadi kamasi zikamtoka ila hata sikuwa na huruma sababu sikuwaza maumivu yake ya wakati huo, niliwaza ya baadae. Na aliumia sana maana nilikuwa nahimili mishindo yake.....

With Kasie, It's not about wachaga it's not about money...

It's about soul, passion and love...

It's all about Dadii as he is the package I treasure.

Mmmuuuahh to Dadiii.

Matata K.
Kwaio hadi leo bado unamsubiria anaekupenda sio
 
Back
Top Bottom