Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,232
- 609
Kuna mdada anadaiwa kujaribu kutoa mimba kwa kunywa vidonge vya kutolea mimba....ikagoma ..akaamua kuilea hivyo hivyo leo kazaa mtoto ambaye kawa affected na hizo dawa, Picha nimetumiwa na ndugu yangu ambaye ni nesi yuko hapa Dar".
Mwenye taarifa zaidi juu ya tukio hili tunaomba atusaidie.
Mtoto amezaliwa Machame Moshi, Mama yake ana (16) alikunywa dawa ya kienyeji ili atoe mimba akiwa na miezi minne, aliyempa dawa ni Dada yake (Dawa alipewa na mganga wakienyeji lakini mimba haikutoka bali aliendelea na ukuaji kama kawaida hadi leo).
=======================
UPDATES;
JamiiForums: Picha Imeondolewa kwani haifai.
Mwenye taarifa zaidi juu ya tukio hili tunaomba atusaidie.
Mtoto amezaliwa Machame Moshi, Mama yake ana (16) alikunywa dawa ya kienyeji ili atoe mimba akiwa na miezi minne, aliyempa dawa ni Dada yake (Dawa alipewa na mganga wakienyeji lakini mimba haikutoka bali aliendelea na ukuaji kama kawaida hadi leo).
=======================
UPDATES;
JamiiForums: Picha Imeondolewa kwani haifai.