M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
una hakika dna inasema kweli??kwa taarifa yako inategemea na jamaa aliyempa mimba kama damu ni group moja na wewe mtoto ataonekana ni wako,bora kukubali yaishe
Aaah Director hii ya wapi hii?.,kwani DNA inapima makundi ya damu tu.,vinasaba vinavyopimwa kujua kama ni mwanao au la ni zaidi ya blood groups mkuu na kama ni mwanao kweli ni lazima vinasaba vitamatch tu.