Mtoto sio wako

Waambi

JF-Expert Member
Dec 4, 2012
737
81
Mama akikuthibitishia kuwa mtoto si wako na anapofikisha miaka.10 anambadilisha na jina ufanyeje? Ikizingatiwa siku zote ulikuwa na wasiwasi?
 
kubali yaishe kwani yanini kugombea ng'ombe asokuwa wako hata kama alifungwa kwenye zizi lako??
 
Dah! jibu la moja kwa moja sitakupa mzee, lakini mwambie mkapime DNA ili uondoe wasiwasi wako.

View attachment 115258
huku kote ni ku-kompliketi maisha,
kama mama kamwambia mtoto si wake akibali matokeo sindano ni chungu lkn ni dawa.
kisha aanze upya maisha yake muda mwingine ni bora kuish peke yako kiliko kuish na mtu -------- na ukizingatia kwamba kesha mbadili hadi jina.hakuna haja ya kuhangaika na DNA wala nini.
asogee pemben kuepusha msongamano................

Mimi ni mwanamke lkn kuna wanawake ni bora hata simba anaweza kuwa na huruma kuliko wao wana roho mbaya zile za kufisha lkn suran wazuri utafikiri wameshushwa........
 
ahaaaaa.. ila jamani majanga loh! ishakula kwake hivo

sasa unafikir atafanyeje kama hali ndo ishakuwa hivyo??
mimi nakwambia achen wanawake wapewe matiti vifuani, tena acha wanaume wayachezee tu lkn wasitake kuyafunua kuona kilichoo ndani watakufa.
roho ya mwanamke ikisha gilibiwa ni zaid ya biological weapon ama virus vya botulism

kwa huyu mwanaume aachane sijui nakupima DNA ajikalie pemben ampishe mwenye nguvu apite.
kwann bwana kujifanya mjinga ulinde utu wako?
 
sasa unafikir atafanyeje kama hali ndo ishakuwa hivyo??
mimi nakwambia achen wanawake wapewe matiti vifuani, tena acha wanaume wayachezee tu lkn wasitake kuyafunua kuona kilichoo ndani watakufa.
roho ya mwanamke ikisha gilibiwa ni zaid ya biological weapon ama virus vya botulism

kwa huyu mwanaume aachane sijui nakupima DNA ajikalie pemben ampishe mwenye nguvu apite.
kwann bwana kujifanya mjinga ulinde utu wako?
ila inauma ujue ! huyu mama nimemkubali
 
Kama alivyosema gfsonwin wanawake wacha wabaki kuwa wanawake. Wakiamua kubadilika utajuta kumfahamu. Na Ukweli ni kwamba anaejua mtoto ni wa nani na mama maana yeye ndo anajua alipata huo ujazito lini na ni nani alihusika. hivyo akishasema mtoto sio wako huenda ikawa kweli kabisa hivyo ni bora kumuachia kwani mtoto kama ni wako ni wako tuu. kumbuka damu haipotei
 
Last edited by a moderator:
Kama alivyosema gfsonwin wanawake wacha wabaki kuwa wanawake. Wakiamua kubadilika utajuta kumfahamu. Na Ukweli ni kwamba anaejua mtoto ni wa nani na mama maana yeye ndo anajua alipata huo ujazito lini na ni nani alihusika. hivyo akishasema mtoto sio wako huenda ikawa kweli kabisa hivyo ni bora kumuachia kwani mtoto kama ni wako ni wako tuu. kumbuka damu haipotei

Hata mama anaweza asijue baba ni nani.

Hebu fikiria, mwanamke kat.ombwa na wanaume watatu katika span tuseme ya wiki moja. Na katika hiyo wiki ndo alipopata ujauzito.

Sasa nambie, yeye kama mama atajua ni nani kati ya hao watatu waliom.----- ndo baba?

Hawezi! Hivyo mkata mzizi wa fitna na genetic test tu.
 
Hivi ulishawah kuwaza hivi kipi kinauma mtoto azaliwe afe ama mtoto azaliwe halafu uambaiwe wewe sio baba yake?
hayajawahi kunikuta, lakini ninahisi vyte ni sawa tu. ninaamini mtu akisingiziwa mtoto akamtunza siku akija kuambiwa sio wake atapata fedheha na moyo utaumia kiasi kwamba ataona bora huyo mtoto asingekuwepo.ni kama mwanamke kuwa na boyfriend wakategemea kuoana, amekuja kujitambulisha kwenu halafu wiki moja tu baada ya kujitambulisha unasikia taarifa za harusi kuwa yule mwanaume anafunga ndoa na mwanamke mwingine....ile aibu alivyokuja kujitambulisha, utaeleza nini kwa watu? aibu tupu. na kwa mtoto hivyohivyo, pengine ulishajulikana wewe ndio baba yao, siku watu wanajua hukuwa baba yao...ni fedheha sana.
 
Hata mama anaweza asijue baba ni nani.

Hebu fikiria, mwanamke kat.ombwa na wanaume watatu katika span tuseme ya wiki moja. Na katika hiyo wiki ndo alipopata ujauzito.

Sasa nambie, yeye kama mama atajua ni nani kati ya hao watatu waliom.----- ndo baba?

Hawezi! Hivyo mkata mzizi wa fitna na genetic test tu.

kwani logic ya kufanya genetic test ni ipi??
na je wafikir itabadili matokeo??
to me wala hakuna haja ya kufanya, huyu aloanzisha balaa lake aondoke nae najua mtoto kama ni damu yangu hatapotea atarudi tu.
Kuna wanawake wengine ni watesaji tu, sasa inamuhitaj mwanaume ambaye ana maamuzi magumu kumudu mwanamke kama huyu.
 
hayajawahi kunikuta, lakini ninahisi vyte ni sawa tu. ninaamini mtu akisingiziwa mtoto akamtunza siku akija kuambiwa sio wake atapata fedheha na moyo utaumia kiasi kwamba ataona bora huyo mtoto asingekuwepo.ni kama mwanamke kuwa na boyfriend wakategemea kuoana, amekuja kujitambulisha kwenu halafu wiki moja tu baada ya kujitambulisha unasikia taarifa za harusi kuwa yule mwanaume anafunga ndoa na mwanamke mwingine....ile aibu alivyokuja kujitambulisha, utaeleza nini kwa watu? aibu tupu. na kwa mtoto hivyohivyo, pengine ulishajulikana wewe ndio baba yao, siku watu wanajua hukuwa baba yao...ni fedheha sana.

Hakuna fedheha kutunza mtt ukaja siku ukaambiwa sio wako. manake hapo mwenye makosa sio wewe uliyelea. Kuna baadhi ya wanawake ili kuish nao unahitaj kuwa na roho ngumu tu
 
kwani logic ya kufanya genetic test ni ipi??

Very simple - to find out who the biological father/ mother is.

na je wafikir itabadili matokeo??

Hilo wanalijua wao.

to me wala hakuna haja ya kufanya, huyu aloanzisha balaa lake aondoke nae najua mtoto kama ni damu yangu hatapotea atarudi tu.

Sawa, huyo ni wewe. Kwa mwingine ni tofauti na uonavyo wewe. So it's all gravy.

Kuna wanawake wengine ni watesaji tu, sasa inamuhitaj mwanaume ambaye ana maamuzi magumu kumudu mwanamke kama huyu.

Kweli, wengine ni watesaji tu.
 
Hakuna fedheha kutunza mtt ukaja siku ukaambiwa sio wako. manake hapo mwenye makosa sio wewe uliyelea. Kuna baadhi ya wanawake ili kuish nao unahitaj kuwa na roho ngumu tu

Kinachouma na kutia fedheha ni kule kudanganywa. Tena kudanganywa kwa muda mrefu. Wewe unapenda kudanganywa?

Hakuna mtu anayependa kudanganywa hususan kwenye mambo kama hayo ya watoto. Mtoto ni mtoto tu na kulea kwa hiari huku ukiujua ukweli, hiyo kwa wengi huwa haina shida.
 
Kinachouma na kutia fedheha ni kule kudanganywa. Tena kudanganywa kwa muda mrefu. Wewe unapenda kudanganywa?

Hakuna mtu anayependa kudanganywa hususan kwenye mambo kama hayo ya watoto. Mtoto ni mtoto tu na kulea kwa hiari huku ukiujua ukweli, hiyo kwa wengi huwa haina shida.
kudanganywa sipendi kabisa,,,,,,,,,
lakini linapotokea swala kama hili nngeomba poo kwanza kisha nianze kuushirikisha ubongo wangu vyema.

ngoja nikue mfano mdogo, baba mmoja aliwah kulea mtoto asokuwa wake kwa muda mrefu, lkn huyu mama alipatia mimba ndani ya ndoa, so kichaga wakasema mtoto anayezaliwa ndani ya ndoa either katoka kwa mwanaume mwingine ama la unatakiwa umlee.
Huyu baba hakuwa anajua lolote juu ya mtoto na hata hivyo hakukuwa na significant difference kati ya watot alozaa kwa huyu baba na huyu wa nje.
Ikatokea siku huy baba akawa anaumwa kalazwa eurology unit kcmc, ilipofika siku ya upasuaji wakasema anahita damu so mwanae alokuwepo karibu ndie huyu ikabidi aambiwe aka donate damu kwa baba. maskini yarabi wee mtoto kupimwa damu yake na ya baba ni tofauti kabisa wakashangaa mbna kwa group alonayo mama na group alonayo mgonjwa haiwez kuwa na mtoto wa damu group tofauti?? Dr mmoja ndugu wa mgonjwa ndiye aliyegundua. Si akavujisha siri bhana, huwez kuamini huyu baba mgonjwa aliliskia kabla hata hajaruhusiwa pale hosp. Huyu mzee akiwa wodini yule mtoto alikuja kumkalizia alipomwona tu alimwambia mwambie mama yako akuonyeshe baba yako, na labda nisirudi nyumban ila nikirudi nyumban sitak kukukuta na wala usije hosp kuniona tena.

huwez kuamini kweli huyu baba wala hata huko nyumban hakurud alikufa akiwa na kinyongo sasa kweli unafikir alitumia busara?
 
Mama akikuthibitishia kuwa mtoto si wako na anapofikisha miaka.10 anambadilisha na jina ufanyeje? Ikizingatiwa siku zote ulikuwa na wasiwasi?
mi naona kama ni ufala wa mwanaume! usibishane na sixth sense!
hivi unashindwaje kujua damu yako hadi unatumikishwa kama ng'ombe mtoto anafikisha umri wa miaka kumi?
we sema ukweli ulikua unaujua ila ulikua ukijipa moyo kua kitanda hakizai haramu na kwamba mke hatakaa akuambie maneno kama hayo! kuna mwanajamii alishawahi kusema 'usimuamini mwanamke hata kama amekufa"
 
kudanganywa sipendi kabisa,,,,,,,,,
lakini linapotokea swala kama hili nngeomba poo kwanza kisha nianze kuushirikisha ubongo wangu vyema.

Kwenye suala kama hili ni bora mara milioni moja mtu aniambie ukweli kuliko kunidanganya kwa muda mrefu. Kama mtu kanidanganya kwa muda mrefu hivyo kuhusiana na hilo moja, kuna mengine mangapi ya muhimu na msingi ambayo kanidanganya? Sipendi kabisa kufanywa mjinga mimi. Sipendi, sipendi, sipendi.

ngoja nikue mfano mdogo, baba mmoja aliwah kulea mtoto asokuwa wake kwa muda mrefu, lkn huyu mama alipatia mimba ndani ya ndoa, so kichaga wakasema mtoto anayezaliwa ndani ya ndoa either katoka kwa mwanaume mwingine ama la unatakiwa umlee.
Huyu baba hakuwa anajua lolote juu ya mtoto na hata hivyo hakukuwa na significant difference kati ya watot alozaa kwa huyu baba na huyu wa nje.
Ikatokea siku huy baba akawa anaumwa kalazwa eurology unit kcmc, ilipofika siku ya upasuaji wakasema anahita damu so mwanae alokuwepo karibu ndie huyu ikabidi aambiwe aka donate damu kwa baba. maskini yarabi wee mtoto kupimwa damu yake na ya baba ni tofauti kabisa wakashangaa mbna kwa group alonayo mama na group alonayo mgonjwa haiwez kuwa na mtoto wa damu group tofauti?? Dr mmoja ndugu wa mgonjwa ndiye aliyegundua. Si akavujisha siri bhana, huwez kuamini huyu baba mgonjwa aliliskia kabla hata hajaruhusiwa pale hosp. Huyu mzee akiwa wodini yule mtoto alikuja kumkalizia alipomwona tu alimwambia mwambie mama yako akuonyeshe baba yako, na labda nisirudi nyumban ila nikirudi nyumban sitak kukukuta na wala usije hosp kuniona tena.

huwez kuamini kweli huyu baba wala hata huko nyumban hakurud alikufa akiwa na kinyongo sasa kweli unafikir alitumia busara?

Ni rahisi sana wewe kuona kwamba huyo baba hakutumia busara kwa sababu labda wewe haikukuhusu. Lakini vile vile huwezi kujua yeye hiyo habari ilimuathiri kivipi.

Watu tumetofautiana katika namna ya kukabiliana na habari mbaya zinazoshitua. Binafsi siwezi kumlaumu yeye. Kama ni lawama basi nitazielekeza kwa huyo mwanamke aliyemdanganya mwenzake kwa muda wote huo.

Nitahoji busara alizotumia huyo mwanamke kumficha ukweli na kumdanganya mwenzake kwa muda wote huo. Huenda uongo wa huyo mwanamke ndo ulimsababishia mshtuko uliomuua huyo baba.

Kwa hiyo kama ni busara, na kwa mtu yeyote mpenda haki na mpenda kujua pande zote za habari kabla hajafikia hitimisho lolote lile, basi atahoji busara, hekima, akili, na sababu zilizopelekea huyo mwanamke kuwa mdanganyifu kwa mwenzake.

Yeye huyo mwanamke wakati anamdanganya mwenzake alikuwa anategemea nini endapo siku moja hiyo siri yake itakuja kubumbuluka? Alitegemea huyo mumewe atachekelea tu? Alifikiria hata kidogo athari zake?

Au alikuwa too selfish kujali hisia mwenzake?
 
Kwa upande mwingine nashukuru kwani mwanamke mkorofi balaa. Sasa sina sababu ya kuendelea naye kwani mtoto si wangu...
 
Back
Top Bottom