Nami nilitaka kuulizaUna umri gani ...maana uanaposema ulikuwa mdogo wakati hiyo miziki nia miaka 7 - 8 tu imepita.
Kumbe yupo hapa hapa bongoNazan siku hizi anaishi hapahapa bongo na anafanya mziki hapahapa kama sikosea anafanyia mziki wake studio kwa Abidadi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo wa juzi tu huo ila anadai alikuwa mdogo,humu tunabishana sana na wanetu kwa kweli.Una umri gani ...maana uanaposema ulikuwa mdogo wakati hiyo miziki nia miaka 7 - 8 tu imepita.
Atakuwa kachukua tabia ya Wema kujipunguzia miaka.Wimbo wa juzi tu huo ila anadai alikuwa mdogo,humu tunabishana sana na wanetu kwa kweli.
Bila shaka utakuwa na mgongo mzuri sana mama yangu manengelo Samahani nakukosea heshima Behaviourist yeye hupenda chura, yaani kalio lile.
jamani jamani..na migongo tena,?huwa mnaitumiaje
kwanini unajiaminisha hvyo mkuu?khaa...mie slim...kuna uarabu ndani yangu (flat)😎Maswali kama haya majibu yake ni pm tu. Wewe Manengelo huwezi kukosa mgongo!! Na hutakiwi kubisha kwa namna yoyote ile.
kwanini unajiaminisha hvyo mkuu?khaa...mie slim...kuna uarabu ndani yangu (flat)😎
Uzuri na mimi ni team slim! Na kama kuna Uarabu ndani yake, means utakua umenenepa yale maeneo muhimu tu! Waniwie tu radhi wale wenye vitambi, matumbo matatu na migongo mikubwa iliyopitiliza, namba tisa na wale slim namba moja! Hawa huwa siwashabikii kabisa.
Kwani dogo una umri gani? Dah kweli uzee umenifikia.
Huo wimbo umenikuta mzee tayari. Imagine..