Mtoto mwenye mkia

Mtoto mwenye mkia

Hayo mambo ya kuthibitisha unyani ni ya kisayansi na wala kwa akili yangu siwezi kuthibitisha hilo mdada. Ila kwa upeo wangu mfupi nimeandika comment nyingine chini labda itakufurahisha hyo.
Sitaki kufurahishwa mrembo, bali nataka UKWELI kama ulivyo.

Pili, mambo ya Kisayansi yapo bila shaka umeyasoma, ila kama uliyasikie bila kujua hakika yake, huku ni kuikosea heshima ELIMU. Hutakiwi kuwa shabiki katika mambk ya kielimu wala hutakiwi kuwa "Bendera fata Upepo".wala "Kichwa Mchunga". Kabla hujaandika jambo hakikisha una ELIMU nalo kama huna awla kukaa kimya au kuuliza.
 
Kama haujui hapo ulikuwa unapinga nini?

Hivi Evolution ni SAYANSI au ni Philosophical Argument ?

Hivi kuna jaribio lolote la EVOLUTION lililo wahi kufanywa likafata misingi ya SAYANSI ?

ahsante.
 
Sitaki kufurahishwa mrembo, bali nataka UKWELI kama ulivyo.

Pili, mambo ya Kisayansi yapo bila shaka umeyasoma, ila kama uliyasikie bila kujua hakika yake, huku ni kuikosea heshima ELIMU. Hutakiwi kuwa shabiki katika mambk ya kielimu wala hutakiwi kuwa "Bendera fata Upepo".wala "Kichwa Mchunga". Kabla hujaandika jambo hakikisha una ELIMU nalo kama huna awla kukaa kimya au kuuliza.
Hujanielewa nadhani mimi sikuandika comment ya kwanza kama a real fact niliandika kujifurahisha ndo maana sikutoa reference yoyote kutoka theory yoyote. Halafu humu muda mwingine sio kila kitu kuchukulia serious hivyo.
 
Hujanielewa nadhani mimi sikuandika comment ya kwanza kama a real fact niliandika kujifurahisha ndo maana sikutoa reference yoyote kutoka theory yoyote. Halafu humu muda mwingine sio kila kitu kuchukulia serious hivyo.
Poa.
 
Yeyote anayeamini evolution namuona kama anafikiri pafupi mno . Yaani hana ile critical thinking kwa kuwa naweza mpangua kwa maswali machache tu .ninachoamini mimi ni adaptation na hakuna evolution .

Sent using Jamii Forums mobile app
images - 2020-04-05T060825.705.jpeg
 
Yeyote anayeamini evolution namuona kama anafikiri pafupi mno . Yaani hana ile critical thinking kwa kuwa naweza mpangua kwa maswali machache tu .ninachoamini mimi ni adaptation na hakuna evolution .

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww naye tangu umekariri hicho kineno cha "critical thinking" umekuwa unakitumia ovyo sana! Acha kukariri, sasa hiyo "critical thinking" mbona siioni ktk blabla uizoandika hapa?
 
Sawa zilete.
Ok here i go !
1.how did life originate?
2.where did life originate?
3.How rapidly does evolution occur?
4.what is the mechanism of evolution?
5.does the fossil records prove evolution?if yes how?
 
Ww naye tangu umekariri hicho kineno cha "critical thinking" umekuwa unakitumia ovyo sana! Acha kukariri, sasa hiyo "critical thinking" mbona siioni ktk blabla uizoandika hapa?
Touch a nerve?? 😂😂😂
 
Ok here i go !
1.how did life originate?
2.where did life originate?
3.How rapidly does evolution occur?
4.what is the mechanism of evolution?
5.does the fossil records prove evolution?if yes how?
Lol, maswali ndio haya?.
 
Back
Top Bottom