Mtoto miaka9 pingili za mgongo zimenyooka

Mtoto miaka9 pingili za mgongo zimenyooka

Mpeleke akaogelee kwenye swimming pool awe anaogelea ndani ya wiki Moja mfululizo asubuhi na jioni ila awe namtu wakumsaidia kwenye Hilo zoezi
Yaani afanye zoezi za kuogelea Kweli Kweli naamini atapona
 
Habari wakuu kijana wangu wa miaka 9 alikua analalamika maumivu ya mgongo sana,nkaenda hospital mbili tofaut nkakutana na daktari wa mifupa

Akafanyiwa x ray ya mgongo ikaonekana pingili za mgongo zimenyooka,kikawaida zinatakiwa ziwe zime bend,akaandikiwa dawa ya neuroton na declofenac jel ,,mkapa Sasa wiki mbili zimepita anatumia dawa ila analalamika mgongo mkuu

Nakuja kwenu wajuvi wa mambo mnipe maarifa zaidi

Kama upo Dar nenda Magomeni Mapipa ukishuka kituoni ulizia Hospital ya Mifupa iliopo karibu na shule ya Mzimuni, usisahau kubeba X-ray ya mtoto, maana huyo Daktari anatizama X-ray ndio anakupaka Dawa na kukuchua.
 

Attachments

  • IMG_20250507_094133.jpg
    IMG_20250507_094133.jpg
    243.9 KB · Views: 9
  • IMG_20250507_094139.jpg
    IMG_20250507_094139.jpg
    265 KB · Views: 8
  • IMG_20250507_094159.jpg
    IMG_20250507_094159.jpg
    258.4 KB · Views: 7

Similar Discussions

Back
Top Bottom