Mtoto miaka9 pingili za mgongo zimenyooka

Mtoto miaka9 pingili za mgongo zimenyooka

Pole sana mkuu....

Hiyo huitwa LUMBAR MUSCLE SPASMS... Ni kakaza kwa misuli ya mgongo hivyo kupelekea kukandamiza mishipa ya fahamu na ndo maana umepewa dawa za Nuero na kuchua

Ila mi nakushauri mpeleke kijana akafanye mazoezi-tiba (Physiotherapy)

Watamsaidia kufanya misuli ikae sawa, wao wanajua zaidi

Ule uliopewa ni ushauri na sio masharti... Ukisema masharti imekaa kiganga zaidi
 
Hili tatizo changamoto sana, linamtesa mtoto wa ndugu yangu, yeye hadi anapoteza fahamu baada ya muda ndio anazinduka.
Mkuu mtoto wa ndugu Yako tatizo lilitokana na nin na vip matibabu yake anafanyia wapi
 
Pole sana mkuu....

Hiyo huitwa LUMBAR MUSCLE SPASMS... Ni kakaza kwa misuli ya mgongo hivyo kupelekea kukandamiza mishipa ya fahamu na ndo maana umepewa dawa za Nuero na kuchua

Ila mi nakushauri mpeleke kijana akafanye mazoezi-tiba (Physiotherapy)

Watamsaidia kufanya misuli ikae sawa, wao wanajua zaidi

Ule uliopewa ni ushauri na sio masharti... Ukisema masharti imekaa kiganga zaidi
Kukaza kwa misuli ya mgongo kunatokana na nin
 
Duh Aisee Mkuu Pole sana!
Sana sana!
Kwa Mujibu wa Picha ya Xray Inaonekana Mwanao Amepata Loss of lordosis, yaani Curve imekuwa flatter Siwezi kuimagine maumivu aliyonayo Maana..

Hapo Kadri siku zinavyoenda Muscle Spams inaongezeka hivyo inafanya Maumivu yawe makali zaidi aisee..

Na Kwa Mujibu wa Hiyo Xrya lazima mwanao awe na Maumivu pia Ya Mguu aidha wa Uppande mmoja Au Miwili "Sciatica Pain"..

Sasa nini Cha Kufanya Fanya "MRI" kuthibitisha hasa Nini Kimesababisha Muscle spasms Ambayo imevuta Lordosis na Kupotea Huenda Kuna Disc bulge au Disc Prolapse Sana sana Hizi Lumber Huwa ni Nyepesi sana Kama zitakumbana na Strain ya Muda mrefu..

Anatakiwa Amuone Daktari wa Mishipa ys Fahamu "Neuro..."
Haraka Iwezekanavyo kabla hali haijawa mbaya Zaidi ..

Pia Atapata Ushauri ikiwemo Physiotharapy..
Lakini Naomba Kama Ataweza Atafute Dawa aina Ya Baclofen Kuzuia Spasm na Itapunguza Maumivu anayopata..

kama Maumivu ni makali Atafute dawa za Maumivu Atumie Pamoja na Baclofen

pole sana Mkuu Na Kama Utaweza Hebu mpeleke MOI ..

Msizembee Aisee Mpelekeni MOI..
Asije akapata Cauda equina syndrome
Loss of lordosis inasababishwa na nin
 
Duh Aisee Mkuu Pole sana!
Sana sana!
Kwa Mujibu wa Picha ya Xray Inaonekana Mwanao Amepata Loss of lordosis, yaani Curve imekuwa flatter Siwezi kuimagine maumivu aliyonayo Maana..

Hapo Kadri siku zinavyoenda Muscle Spams inaongezeka hivyo inafanya Maumivu yawe makali zaidi aisee..

Na Kwa Mujibu wa Hiyo Xrya lazima mwanao awe na Maumivu pia Ya Mguu aidha wa Uppande mmoja Au Miwili "Sciatica Pain"..

Sasa nini Cha Kufanya Fanya "MRI" kuthibitisha hasa Nini Kimesababisha Muscle spasms Ambayo imevuta Lordosis na Kupotea Huenda Kuna Disc bulge au Disc Prolapse Sana sana Hizi Lumber Huwa ni Nyepesi sana Kama zitakumbana na Strain ya Muda mrefu..

Anatakiwa Amuone Daktari wa Mishipa ys Fahamu "Neuro..."
Haraka Iwezekanavyo kabla hali haijawa mbaya Zaidi ..niki

Pia Atapata Ushauri ikiwemo Physiotharapy..
Lakini Naomba Kama Ataweza Atafute Dawa aina Ya Baclofen Kuzuia Spasm na Itapunguza Maumivu anayopata..

kama Maumivu ni makali Atafute dawa za Maumivu Atumie Pamoja na Baclofen

pole sana Mkuu Na Kama Utaweza Hebu mpeleke MOI ..

Msizembee Aisee Mpelekeni MOI..
Asije akapata Cauda equina syndrome
Mkuu nikimpeleka moi ndo nionane na daktar wa mfumo wa fahamu Neuro ama
 
Kukaza kwa misuli ya mgongo kunatokana na nin
Watu wengi kwa sasa tuna ukaaji usiofaa, tunakalia kiuno na sio makalio tena

Pili ni vitunavyokalia, vinaweza visiwe rafiki kwa migongo yetu

Tatu ni kukaa kwa muda mrefu... watoto wetu wanakaa kwenye viti saa mbili hadi saa 10 au zaidi

Nne ni magodoro tunayolalia yanaweza kuchangia pia

Tano, ni namna tunavyoinama kunyanyua vitu, hasa vitu vizito

Yale "Masharti" uliyopewa ndizo sababu za matatizo ya misuli ya mgongo kukaza
 
Duh Aisee Mkuu Pole sana!
Sana sana!
Kwa Mujibu wa Picha ya Xray Inaonekana Mwanao Amepata Loss of lordosis, yaani Curve imekuwa flatter Siwezi kuimagine maumivu aliyonayo Maana..

Hapo Kadri siku zinavyoenda Muscle Spams inaongezeka hivyo inafanya Maumivu yawe makali zaidi aisee..

Na Kwa Mujibu wa Hiyo Xrya lazima mwanao awe na Maumivu pia Ya Mguu aidha wa Uppande mmoja Au Miwili "Sciatica Pain"..

Sasa nini Cha Kufanya Fanya "MRI" kuthibitisha hasa Nini Kimesababisha Muscle spasms Ambayo imevuta Lordosis na Kupotea Huenda Kuna Disc bulge au Disc Prolapse Sana sana Hizi Lumber Huwa ni Nyepesi sana Kama zitakumbana na Strain ya Muda mrefu..

Anatakiwa Amuone Daktari wa Mishipa ys Fahamu "Neuro..."
Haraka Iwezekanavyo kabla hali haijawa mbaya Zaidi ..

Pia Atapata Ushauri ikiwemo Physiotharapy..
Lakini Naomba Kama Ataweza Atafute Dawa aina Ya Baclofen Kuzuia Spasm na Itapunguza Maumivu anayopata..

kama Maumivu ni makali Atafute dawa za Maumivu Atumie Pamoja na Baclofen

pole sana Mkuu Na Kama Utaweza Hebu mpeleke MOI ..

Msizembee Aisee Mpelekeni MOI..
Asije akapata Cauda equina syndrome
Mkuu hiyo baclofen inatokana na nin
 
Watu wengi kwa sasa tuna ukaaji usiofaa, tunakalia kiuno na sio makalio tena

Pili ni vitunavyokalia, vinaweza visiwe rafiki kwa migongo yetu

Tatu ni kukaa kwa muda mrefu... watoto wetu wanakaa kwenye viti saa mbili hadi saa 10 au zaidi

Nne ni magodoro tunayolalia yanaweza kuchangia pia

Tano, ni namna tunavyoinama kunyanyua vitu, hasa vitu vizito

Yale "Masharti" uliyopewa ndizo sababu za matatizo ya misuli ya mgongo kukaza
Je tatizo la mtoto wangu linatobika,maana amepata changamoto akiwa bweni shule na pia masomo wanaanza saa kumi na mbili asubuh Hadi saa tatu usiku,nashule walikua wakibebeshwa maji ndo yaa Lita kumi asubuh na jioni
 
Sababu ziko nyingi na Ndo maana Nimekushauri Uende kufanya MRI na Zaidi uende Hsopitali MOI
Nashukuru sana mkuu kwa ushauri acha niombe ruhusu shule mtoto nimepeleke hospital maana Yuko darasa la nne la mitahani
 
Ukifika MOI nenda Omba Kuonana na Daktari wa Mishipa ya Fahamu na Ubongo na Pia Daktari wa Mifupa
Hapa nimekuelewa boss..kwaiyo dawa ya baclofen naweza inunua mtoto akaitumia uku nikisubiria kwenda moi
 
Hapa nimekuelewa boss..kwaiyo dawa ya baclofen naweza inunua mtoto akaitumia uku nikisubiria kwenda moi
Ndyo kabisa Jinsi ya Matumizi watakuandikia Pharmacy ila kama Ni ile ya 20 mg basi Atumie kimoja mara mbili
 
hapa mtatoa comment zote
Ila jambo kubwa.chanzo cha hiyo shida ni mabegi wanabeba kwenda shule
Mtoto wa miaka 10 ni darasa la 4 ama la 5
Unakuta kwnye bagi ana conter za masomo kama 7.counter za masomo ya ziada homework 5
Ukiangalia anabeba hiko begi muda mrefu ndo shida zinaanzia hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom