Mtoto miaka9 pingili za mgongo zimenyooka

Mtoto miaka9 pingili za mgongo zimenyooka

Yaani Dr bingwa wa mifupa kakuandikia Diclofenac na neurotoin tu akakuacha bila kukushauri chochote?
Mkuu kanishauri mtoto asibebe vitu vizito,asiiname,asichukue kitu kwa kwakuinama,alalie godoro la mgongo,
 
Hili tatizo changamoto sana, linamtesa mtoto wa ndugu yangu, yeye hadi anapoteza fahamu baada ya muda ndio anazinduka.
 
Hahaha mim mwenyew nimeona kama anatumia google hapo pembeni, siyo hawa wanafunzi wa field waliopo rotation sasa hivi😂
Haya matibabu Yako very empirical,unauhakika aliemtibu ni daktari waa mifupa au mwanafunzi wa field hapo hospitali!?
 
Mkuu kanishauri mtoto asibebe vitu vizito,asiiname,asichukue kitu kwa kwakuinama,alalie godoro la mgongo,
Hajapata Bado matibabu sidhani kama hao wanajeshi uliokutana nao ni ma Dr bingwa wa mifupa kweli nna wasiwasi tumekutana na clinical assistant
 
Habari wakuu kijana wangu wa miaka 9 alikua analalamika maumivu ya mgongo sana,nkaenda hospital mbili tofaut nkakutana na daktari wa mifupa

Akafanyiwa x ray ya mgongo ikaonekana pingili za mgongo zimenyooka,kikawaida zinatakiwa ziwe zime bend,akaandikiwa dawa ya neuroton na declofenac jel ,,mkapa Sasa wiki mbili zimepita anatumia dawa ila analalamika mgongo mkuu

Nakuja kwenu wajuvi wa mambo mnipe maarifa zaidi
Duh Aisee Mkuu Pole sana!
Sana sana!
Kwa Mujibu wa Picha ya Xray Inaonekana Mwanao Amepata Loss of lordosis, yaani Curve imekuwa flatter Siwezi kuimagine maumivu aliyonayo Maana..

Hapo Kadri siku zinavyoenda Muscle Spams inaongezeka hivyo inafanya Maumivu yawe makali zaidi aisee..

Na Kwa Mujibu wa Hiyo Xrya lazima mwanao awe na Maumivu pia Ya Mguu aidha wa Uppande mmoja Au Miwili "Sciatica Pain"..

Sasa nini Cha Kufanya Fanya "MRI" kuthibitisha hasa Nini Kimesababisha Muscle spasms Ambayo imevuta Lordosis na Kupotea Huenda Kuna Disc bulge au Disc Prolapse Sana sana Hizi Lumber Huwa ni Nyepesi sana Kama zitakumbana na Strain ya Muda mrefu..

Anatakiwa Amuone Daktari wa Mishipa ys Fahamu "Neuro..."
Haraka Iwezekanavyo kabla hali haijawa mbaya Zaidi ..

Pia Atapata Ushauri ikiwemo Physiotharapy..
Lakini Naomba Kama Ataweza Atafute Dawa aina Ya Baclofen Kuzuia Spasm na Itapunguza Maumivu anayopata..

kama Maumivu ni makali Atafute dawa za Maumivu Atumie Pamoja na Baclofen

pole sana Mkuu Na Kama Utaweza Hebu mpeleke MOI ..

Msizembee Aisee Mpelekeni MOI..
Asije akapata Cauda equina syndrome
 
Hawa watoto mnawalisha sana mavyakula ya viwandani na mama zao kipindi cha ujauzito walikuwa wanakula sana chipsi na beer lazima watoto wazaliwe na changamoto za kiafya.
 
Duh Aisee Mkuu Pole sana!
Sana sana!
Kwa Mujibu wa Picha ya Xray Inaonekana Mwanao Amepata Loss of lordosis, yaani Curve imekuwa flatter Siwezi kuimagine maumivu aliyonayo Maana..

Hapo Kadri siku zinavyoenda Muscle Spams inaongezeka hivyo inafanya Maumivu yawe makali zaidi aisee..

Na Kwa Mujibu wa Hiyo Xrya lazima mwanao awe na Maumivu pia Ya Mguu aidha wa Uppande mmoja Au Miwili "Sciatica Pain"..

Sasa nini Cha Kufanya Fanya "MRI" kuthibitisha hasa Nini Kimesababisha Muscle spasms Ambayo imevuta Lordosis na Kupotea Huenda Kuna Disc bulge au Disc Prolapse Sana sana Hizi Lumber Huwa ni Nyepesi sana Kama zitakumbana na Strain ya Muda mrefu..

Anatakiwa Amuone Daktari wa Mishipa ys Fahamu "Neuro..."
Haraka Iwezekanavyo kabla hali haijawa mbaya Zaidi ..

Pia Atapata Ushauri ikiwemo Physiotharapy..
Lakini Naomba Kama Ataweza Atafute Dawa aina Ya Baclofen Kuzuia Spasm na Itapunguza Maumivu anayopata..

kama Maumivu ni makali Atafute dawa za Maumivu Atumie Pamoja na Baclofen

pole sana Mkuu Na Kama Utaweza Hebu mpeleke MOI ..

Msizembee Aisee Mpelekeni MOI..
Asije akapata Cauda equina syndrome
Ushauri mzuri sana mkuu, huu ushauri alitakiwa apewe hapo jeshini imagine wamempa tu Diclofenac na neurotoin kisha aende nyumbn wakati majibu ya x -ray wameyaona.
 
Ushauri mzuri sana mkuu, huu ushauri alitakiwa apewe hapo jeshini imagine wamempa tu Diclofenac na neurotoin kisha aende nyumbn wakati majibu ya x -ray wameyaona.
Ni Hatari sana Kuwa na vituo ama hospitali za namna hiyo vinaweza Kusababisha ulemavu bila kujua..
Just imagine wameumiza wangapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom