Mtoto miaka9 pingili za mgongo zimenyooka

Mtoto miaka9 pingili za mgongo zimenyooka

Mkuu mtoto wa ndugu Yako tatizo lilitokana na nin na vip matibabu yake anafanyia wapi
Tatizo pingili katika uti wa mgongo inaonekana umepinda tatizo limekuja gundulika mwaka jana bint akiwa ameshakua mkubwa, hivyo alitakiwa kufanyiwa operation, na matibabu anahudhuria Muhimbili. Sasa kwakua yupo form four wakashauriwa kuna dawa atumie then baada ya kumaliza paper arudi kwa ajili ya operation (japo operation wanasema itahitaji umakini mkubwa kwa sababu mtoto anaweza aka paralize ama akasafiri, ni 50/50). Imekua ni mtihani kwa familia maana kila akirudi shule siku kadhaa tu hali ile inamtokea, kupoteza fahamu kabisa.
 
Tatizo pingili katika uti wa mgongo inaonekana umepinda tatizo limekuja gundulika mwaka jana bint akiwa ameshakua mkubwa, hivyo alitakiwa kufanyiwa operation, na matibabu anahudhuria Muhimbili. Sasa kwakua yupo form four wakashauriwa kuna dawa atumie then baada ya kumaliza paper arudi kwa ajili ya operation (japo operation wanasema itahitaji umakini mkubwa kwa sababu mtoto anaweza aka paralize ama akasafiri, ni 50/50). Imekua ni mtihani kwa familia maana kila akirudi shule siku kadhaa tu hali ile inamtokea, kupoteza fahamu kabisa.
Adaktati walisema Alitakiwa kufanyiwa matibabu akiwa na Umri Gani ili apone
 
Tatizo pingili katika uti wa mgongo inaonekana umepinda tatizo limekuja gundulika mwaka jana bint akiwa ameshakua mkubwa, hivyo alitakiwa kufanyiwa operation, na matibabu anahudhuria Muhimbili. Sasa kwakua yupo form four wakashauriwa kuna dawa atumie then baada ya kumaliza paper arudi kwa ajili ya operation (japo operation wanasema itahitaji umakini mkubwa kwa sababu mtoto anaweza aka paralize ama akasafiri, ni 50/50). Imekua ni mtihani kwa familia maana kila akirudi shule siku kadhaa tu hali ile inamtokea, kupoteza fahamu kabisa.
Kwani angekua mdogo iyo pingili iliyopinda ingetibikaje madaktar walisemaje
 
Kwani angekua mdogo iyo pingili iliyopinda ingetibikaje madaktar walisemaje
Mkuu Relax nenda Hospitali Mtoto atapata nafuu Usisikilize Vingi unavyoambiwa Utapotea na Vitakutia hofu..

Huyo anayemwelezea "Mwanaye" alikuwa na Changamoto inaitwa "Scoliosis" ni Tofauti na Changamoto ya Mwanao Kama kweli unataka Kumsaidia Mwanao Ushauri tuliokupa Unatosha..
Sasa ni Jukumu lako kwenda Hospitali kupatiwa Matibabu
 
Mkuu Relax nenda Hospitali Mtoto atapata nafuu Usisikilize Vingi unavyoambiwa Utapotea na Vitakutia hofu..

Huyo anayemwelezea "Mwanaye" alikuwa na Changamoto inaitwa "Scoliosis" ni Tofauti na Changamoto ya Mwanao Kama kweli unataka Kumsaidia Mwanao Ushauri tuliokupa Unatosha..
Sasa ni Jukumu lako kwenda Hospitali kupatiwa Matibabu
Kabisa boss Wacha nifunge safari kwenda muhimbili
 
Pole sana ,sasa hospitali pekee inayoweza kutibu hili tatizo ni Hospitali ya Taifa (MNH) -(Muhimbili orthopedic Institute(MOI) hawa ni wataalamu wa matatizo ya mifupa na mishipa ya fahamu .omba rufaa ufike hapo kabla matatizo hayajaongezeka ,
 

Attachments

  • IMG_20250505_132422.jpg
    IMG_20250505_132422.jpg
    286.6 KB · Views: 12
Duh Aisee Mkuu Pole sana!
Sana sana!
Kwa Mujibu wa Picha ya Xray Inaonekana Mwanao Amepata Loss of lordosis, yaani Curve imekuwa flatter Siwezi kuimagine maumivu aliyonayo Maana..

Hapo Kadri siku zinavyoenda Muscle Spams inaongezeka hivyo inafanya Maumivu yawe makali zaidi aisee..

Na Kwa Mujibu wa Hiyo Xrya lazima mwanao awe na Maumivu pia Ya Mguu aidha wa Uppande mmoja Au Miwili "Sciatica Pain"..

Sasa nini Cha Kufanya Fanya "MRI" kuthibitisha hasa Nini Kimesababisha Muscle spasms Ambayo imevuta Lordosis na Kupotea Huenda Kuna Disc bulge au Disc Prolapse Sana sana Hizi Lumber Huwa ni Nyepesi sana Kama zitakumbana na Strain ya Muda mrefu..

Anatakiwa Amuone Daktari wa Mishipa ys Fahamu "Neuro..."
Haraka Iwezekanavyo kabla hali haijawa mbaya Zaidi ..

Pia Atapata Ushauri ikiwemo Physiotharapy..
Lakini Naomba Kama Ataweza Atafute Dawa aina Ya Baclofen Kuzuia Spasm na Itapunguza Maumivu anayopata..

kama Maumivu ni makali Atafute dawa za Maumivu Atumie Pamoja na Baclofen

pole sana Mkuu Na Kama Utaweza Hebu mpeleke MOI ..

Msizembee Aisee Mpelekeni MOI..
Asije akapata Cauda equina syndrome
Mkuu mtoto wangu dawa nyingine aliopewa aitumie nihii
 

Attachments

  • IMG_20250505_132422.jpg
    IMG_20250505_132422.jpg
    286.6 KB · Views: 14
Watoto wa shule wana bebeshwa mabegi mazito sana ya daftayna vitabu. Mwisho wa siku wanaanza kupata shida za migongo mapema sana. Mpeleke mwanao hospitali ya rufaa kwa uchunguzi zaidi.
 
Duh Aisee Mkuu Pole sana!
Sana sana!
Kwa Mujibu wa Picha ya Xray Inaonekana Mwanao Amepata Loss of lordosis, yaani Curve imekuwa flatter Siwezi kuimagine maumivu aliyonayo Maana..

Hapo Kadri siku zinavyoenda Muscle Spams inaongezeka hivyo inafanya Maumivu yawe makali zaidi aisee..

Na Kwa Mujibu wa Hiyo Xrya lazima mwanao awe na Maumivu pia Ya Mguu aidha wa Uppande mmoja Au Miwili "Sciatica Pain"..

Sasa nini Cha Kufanya Fanya "MRI" kuthibitisha hasa Nini Kimesababisha Muscle spasms Ambayo imevuta Lordosis na Kupotea Huenda Kuna Disc bulge au Disc Prolapse Sana sana Hizi Lumber Huwa ni Nyepesi sana Kama zitakumbana na Strain ya Muda mrefu..

Anatakiwa Amuone Daktari wa Mishipa ys Fahamu "Neuro..."
Haraka Iwezekanavyo kabla hali haijawa mbaya Zaidi ..

Pia Atapata Ushauri ikiwemo Physiotharapy..
Lakini Naomba Kama Ataweza Atafute Dawa aina Ya Baclofen Kuzuia Spasm na Itapunguza Maumivu anayopata..

kama Maumivu ni makali Atafute dawa za Maumivu Atumie Pamoja na Baclofen

pole sana Mkuu Na Kama Utaweza Hebu mpeleke MOI ..

Msizembee Aisee Mpelekeni MOI..
Asije akapata Cauda equina syndrome
Salute 🫡 sana mkuu umeongea ki professional
 
Hii Tizanidine Alipewa Lini?
Hii pia inapunguza Spasticity Just Like Baclofen Sena Ina Side effects Nyingi ndo Maana I Preffer Baclofen Japo Zite ni Dawa Nzuri tu
Alishatumia dawa hii tizanidine kwa siku 14 yaan Leo ilikua siku ya 14,ila aliitumia kwa siku 10 mfululilozo kidonge Cha mg4 kinakatatwa nusu kwaiyo anatumia mara moja tu kwa siku,hii dawa aliopewa tar 15/4/2025
 
Hii Tizanidine Alipewa Lini?
Hii pia inapunguza Spasticity Just Like Baclofen Sena Ina Side effects Nyingi ndo Maana I Preffer Baclofen Japo Zite ni Dawa Nzuri tu
Mkuu kwaiyo Bora niitafute baclofen niitumie
 
Hii Tizanidine Alipewa Lini?
Hii pia inapunguza Spasticity Just Like Baclofen Sena Ina Side effects Nyingi ndo Maana I Preffer Baclofen Japo Zite ni Dawa Nzuri tu
Hii dawa aliopewa tar 14/04/2025 akaitumia kwa siku 14 mfululizo ila aliitumia siku10 aka skip siku kadhaa ila Hadi Sasa ametukia siku 14 na nidose ya mwezi mzima ,dose ya 2mg kwa siku anatumia,vip mkuu Bora niiache ninunue. Baclofen
 
Hii dawa aliopewa tar 14/04/2025 akaitumia kwa siku 14 mfululizo ila aliitumia siku10 aka skip siku kadhaa ila Hadi Sasa ametukia siku 14 na nidose ya mwezi mzima ,dose ya 2mg kwa siku anatumia,vip mkuu Bora niiache ninunue. Baclofen
Hapana Ushauri wangu utabaki pale pale Mpeleke Hospitali kwa Vipimo zaidi.. Mkuu.....Usimtutike Midawa bila Kuwa na Uhakika wa Ugonjwa
 
Duh Aisee Mkuu Pole sana!
Sana sana!
Kwa Mujibu wa Picha ya Xray Inaonekana Mwanao Amepata Loss of lordosis, yaani Curve imekuwa flatter Siwezi kuimagine maumivu aliyonayo Maana..

Hapo Kadri siku zinavyoenda Muscle Spams inaongezeka hivyo inafanya Maumivu yawe makali zaidi aisee..

Na Kwa Mujibu wa Hiyo Xrya lazima mwanao awe na Maumivu pia Ya Mguu aidha wa Uppande mmoja Au Miwili "Sciatica Pain"..

Sasa nini Cha Kufanya Fanya "MRI" kuthibitisha hasa Nini Kimesababisha Muscle spasms Ambayo imevuta Lordosis na Kupotea Huenda Kuna Disc bulge au Disc Prolapse Sana sana Hizi Lumber Huwa ni Nyepesi sana Kama zitakumbana na Strain ya Muda mrefu..

Anatakiwa Amuone Daktari wa Mishipa ys Fahamu "Neuro..."
Haraka Iwezekanavyo kabla hali haijawa mbaya Zaidi ..

Pia Atapata Ushauri ikiwemo Physiotharapy..
Lakini Naomba Kama Ataweza Atafute Dawa aina Ya Baclofen Kuzuia Spasm na Itapunguza Maumivu anayopata..

kama Maumivu ni makali Atafute dawa za Maumivu Atumie Pamoja na Baclofen

pole sana Mkuu Na Kama Utaweza Hebu mpeleke MOI ..

Msizembee Aisee Mpelekeni MOI..
Asije akapata Cauda equina syndrome
Kama kuna madoktori hapa jf ambao tunajivunia uwepo wao basi wewe ni namba moja

Ukiitwa huwa unatoa ushauri wa nini cha kufanya na unatoa ramani ya nini kifanyike

Kongole sana kwako expert wangu
 
Hapana Ushauri wangu utabaki pale pale Mpeleke Hospitali kwa Vipimo zaidi.. Mkuu.....Usimtutike Midawa bila Kuwa na Uhakika wa Ugonjwa
Ngoja nimpeleke moi kwa ajili ya vipimo zaid,vip mkuu hii tinidazine niachane nayo nitafute baclofen ama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom