Mtoto Linah mashalah

Sema nako kana ufupi wa kimo cha mbuzi,bt hapo kati ni kama kamefungasha silaha,mmh katapona kweli huko kwa "mafremason"..
 
8.jpg

mymyyymmmyyyyy doooog...!!!
 
Aaaaaaaargh! yaani waafrika kwa kupenda appearance za watu hatujambo! sasa siku mbili tu alizokaa huko ndio hadi kuvaa hayo sijui ndio mawigi ya kizungu na kukaa uchi? this is non sense:crazy:

  • :crazy:
 
Mashallah kwa lipi? sura imemkomaa, ngozi imemkauka
Angekaa japo mwezi huko apigwe upepo uliopimwa ndio apige picha
 
Back
Top Bottom