The Bastards
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 218
- 348
Habari ya uzima wakuu
Jiran na ninapokaa,
Kuna mtoto amezaliwa ila kichwa kimejaa maji (wataalamu wa afya wanaita hydrocephalus)
Kwa elimu yangu.
Nafahamu hawa watoto wanatibiwa Kwa kuwekewa mrija (catheter) ambayo itakua inayatoa haya maji kutoka huko kichwani Hadi tumboni.
Sasa nilikuwa naulizia, huu mrija unakaa Kwa muda gan? Na pia Kuna matibabu tofauti na haya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiran na ninapokaa,
Kuna mtoto amezaliwa ila kichwa kimejaa maji (wataalamu wa afya wanaita hydrocephalus)
Kwa elimu yangu.
Nafahamu hawa watoto wanatibiwa Kwa kuwekewa mrija (catheter) ambayo itakua inayatoa haya maji kutoka huko kichwani Hadi tumboni.
Sasa nilikuwa naulizia, huu mrija unakaa Kwa muda gan? Na pia Kuna matibabu tofauti na haya?
Sent using Jamii Forums mobile app