Mtoto kuanza kucheza tumboni

Mtoto kuanza kucheza tumboni

UTI inaweza ikakuondoa duniani. Yaani usiichukulie poa kabisa.

Mimi mara ya kwanza kuumwa UTI niliichelewa yaani nilikuwa napata maumivu wakati wa kukojoa ila nikawa nayaona ni maumivu ya kawaida.

Ebwana eeee siku zikasogea ikafika siku nmeamka asubuhi niliharisha balaa, mpaka nilienda kugoogle dalili za kipindupindu zipoje ndio kidogo nikawa na amani.

Baadae nikaaanza kufeel kichefuchefu, nikaanza kutapika. Then tumbo likaanza kunyonga. Aisee maisha yangu yote sijawahi kuumwa na maumivu makali ya tumbo kama yale.

Ilibidi tu niende hospital nmebebwa. mpaka leo UTI naiheshimu.
wadau habarini za saizi hivi ugonjwa wa UTI unaathari gani au tabu zipi mtu anazipata endapo ukiwa umekua zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom