Mtoto kuanza kucheza tumboni

Mtoto kuanza kucheza tumboni

Shunula

Member
Joined
Mar 9, 2013
Posts
72
Reaction score
15
Wakuu hongereni kwa mishughuliko ya hapa na pale.wakuu ! Mi nahitaji kujuzwa kuhusiana na hatua za ukuaji wa mimba hasa ni lini mtoto huanza kucheza tumboni.Kama kuna post yoyote inoyo jibu jambo hili naomba kuunganishwa.Nina hamu sana kujuzwa jambo hili hasa ukizingatia shemeji/wifi yenu ni mjamzito,wakuu naomba kuwasilisha.
 
Kwa wewe mwenye mimba ya kwanza utaanza kusikia mimba ikifikisha wiki 24(miezi 5 kuelekea wa 6).wale wazoefu(mimba ya pili au zaidi) wanaanza kusikia mapema zaidi kati ya wiki ya 18-22 hapo.
 
Kwa wewe mwenye mimba ya kwanza utaanza kusikia mimba ikifikisha wiki 24(miezi 5 kuelekea wa 6).wale wazoefu(mimba ya pili au zaidi) wanaanza kusikia mapema zaidi kati ya wiki ya 18-22 hapo.
Asante mkuu nimekupata.
 
Kwa wewe mwenye mimba ya kwanza utaanza kusikia mimba ikifikisha wiki 24(miezi 5 kuelekea wa 6).wale wazoefu(mimba ya pili au zaidi) wanaanza kusikia mapema zaidi kati ya wiki ya 18-22 hapo.
Mi ni uzao wa kwanza na nina miezi minne hivi ila nahisi movements yaani masaa mengi nahisi nikilala ndio anapumzika...je ni kawaida pia au ninakosea kuhesabu miezi?
 
Wakuu hongereni kwa mishughuliko ya hapa na pale.wakuu ! Mi nahitaji kujuzwa kuhusiana na hatua za ukuaji wa mimba hasa ni lini mtoto huanza kucheza tumboni.Kama kuna post yoyote inoyo jibu jambo hili naomba kuunganishwa.Nina hamu sana kujuzwa jambo hili hasa ukizingatia shemeji/wifi yenu ni mjamzito,wakuu naomba kuwasilisha.
watu tupo maofisini tunaangalia vitu muhimu sumuulize mke wako akuambie unaogopa nini au anakuendesha kama gari
 
nnavoelewa mimba ina phase tatu ya kwanza ni mwezi wa 1-3 hapa mwili unakuwa na mabadiliko sana na pengine kuchagua baadhi ya chakula na ya pili ni mwezi 4-6 ambapo mwili huanza kukop na movement za mtoto huanza na ya tatu 7-9 anaendelea kukua na ancheza kila siku na anapswa kucheza.
 
Jamani naombeni kujifunza, hivi inachukua muda gani kitoto kilicho tumboni mwa mama yake kuanza kucheza?
 
Mimi nakumbuka wa kwangu alianza kucheza miezi sita hivi, lkn wataalam watakuja kutujuza.
 
Mama atahisi movements ambazo awali alikua hazisikii,na muda unavyosogea ataendelea kusikia more punches,ingia google utafuta utapata info nyingi sana

shukrani sana, ngoja nikae vzr nijifunze viwili vitatu
 
Kitaalam tunahesabu wiki Co miez na ndomana complete pregnancy ni wiki 39
nnavoelewa mimba ina phase tatu ya kwanza ni mwezi wa 1-3 hapa mwili unakuwa na mabadiliko sana na pengine kuchagua baadhi ya chakula na ya pili ni mwezi 4-6 ambapo mwili huanza kukop na movement za mtoto huanza na ya tatu 7-9 anaendelea kukua na ancheza kila siku na anapswa kucheza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom