Mtoto atekwa nyara

Mtoto atekwa nyara

TIGOPESA

Senior Member
Joined
Apr 2, 2014
Posts
190
Reaction score
63
Baba kapigiwa simu, Kaambiwa kama wataka mtoto wako lete dola elfu ishirini.
Baba mtu akauliza: Mtoto mnampa chakula?
Mtekaji akajibu: Tunampa.
Baba kauliza tena: Mnampa maji ya kunywa?
Mtekaji akajibu: Tunampa.
Baba kauliza tena: Mnampa pakulala?
Mtekaji kajibu: Ndio.
Baba akasema: Kama ni hivyo, basi njoo uwachukue na ndugu zake waliobaki...
 
maana maisha yalivyomagumu lazima watekaji wamwachie tu
~tena huyo baba naye angeruhusu naye kutekwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom